Kwa kuwa tuna mkao wa kula badala ya msimamo,mwisho mikono yote itamega matonge ya ugali wetu pamoja
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
Rose Ndauka na Richie:Pamoja Tena!!! Kaa Mkao wa Kula
Ikiwa ni siku chache tu zimebakia tuuage mwaka 2014 na tuukaribishe mwaka wa 2015 Mungu akipenda. Waigizaji Rose Ndauka na Single Mtambalike ‘Richie ‘ waneonekana wakiwa "Location" wakitengeneza filamu mpya ambayo kwa mujibu wa Rose ndauka kazi hiyo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment na kuongozwa na Richie ambae ni mkurugenzi wa kampuni hiyo.
Rose ndauka akionekana mwenye furaha akiwa na Richie alitupia picha mtandaoni na kuandika kwa kifupi zaidi kuwa watu wakae mkao wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MYVMPXToyPo/XosF3lO9mjI/AAAAAAALmKA/WwY_1xFKCfM5Vrd_7EuBqxuf8hbS769MQCLcBGAsYHQ/s72-c/8ba0de48-9951-4996-88cf-d4ed5b2c2a4c.jpg)
RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU.
RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.
Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Dk3Wvnwkokg/VCxKqW5-v5I/AAAAAAAGnI4/ZYjL9PoT6QA/s72-c/Michuzi-Blog-800-X-600-Pixel(COFFEE).jpg)
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Dhana: Kazi Mpya ya Riyama, Kaa Mkao wa Kula
Mwaka ndio huo tumeshauanza, na kazi ndio hizi zipo jikoni karibu kutoka, Hii ni ya mwigizaji anaesifiwa kwa kuvaa vizuri (kwa heshima) sio mwigine ni, Rihaya Ally, filamu inaitwa Dhana,kwamaneno mafupi akizungumzia ujio wa filamu hii Riyama alisema;
“Dhana....... Mbayaaaaaaaaaa!! Kazini kazi ya mikono yangu wadau kaeni mkao wakula”
Tukae mkao wa kula,tuisubiri
10 years ago
Michuzi9 years ago
Bongo Movies19 Dec
Kaeni Mkao wa Kula, Riyama na ‘Pacha’ wake Mwanaheri wapo Jikoni
Mastaa wakali wa Bongo Movies, Riyama Ally na mwanaheri kwasasa wapo lokesheni wakishuti kazi yao mpya . Mwanaheri ambaye ni msanii anayekuja kwenye tasnia kwa kasi ya ajabu amefanikiwa kuwateka mashabiki nakupeleikea wamtabilie makubwa kwenye tasnia hiyo kutokana na uwezo wake katika kuigiza.
Mbali na kufanana kimuonekano Mwanaheri amekuwa akifananishwa na Riyama hata kwenye uigizaji wake na kupelekea wawili hao kuitana pacha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Qr3Wam1Wl3w/XlfHCb3-NoI/AAAAAAALftY/Nhckn3cev6M77q74aJMxHzeYVgyG2UAEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200227-WA0046.jpg)
WAREMBO KAENI MKAO WA KULA, USAHILI WA SHINDANO LA MISS TANZANIA WAZINDULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qr3Wam1Wl3w/XlfHCb3-NoI/AAAAAAALftY/Nhckn3cev6M77q74aJMxHzeYVgyG2UAEQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200227-WA0046.jpg)
Akizungumza na waandishi wahabari Mkurugenzi wa...
10 years ago
VijimamboKIJIWE CHA UGHAIBUNI KURUDI HEWANI MWAKANI KAA MKAO WA KULA