Kaeni Mkao wa Kula, Riyama na ‘Pacha’ wake Mwanaheri wapo Jikoni
Mastaa wakali wa Bongo Movies, Riyama Ally na mwanaheri kwasasa wapo lokesheni wakishuti kazi yao mpya . Mwanaheri ambaye ni msanii anayekuja kwenye tasnia kwa kasi ya ajabu amefanikiwa kuwateka mashabiki nakupeleikea wamtabilie makubwa kwenye tasnia hiyo kutokana na uwezo wake katika kuigiza.
Mbali na kufanana kimuonekano Mwanaheri amekuwa akifananishwa na Riyama hata kwenye uigizaji wake na kupelekea wawili hao kuitana pacha.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Qr3Wam1Wl3w/XlfHCb3-NoI/AAAAAAALftY/Nhckn3cev6M77q74aJMxHzeYVgyG2UAEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200227-WA0046.jpg)
WAREMBO KAENI MKAO WA KULA, USAHILI WA SHINDANO LA MISS TANZANIA WAZINDULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qr3Wam1Wl3w/XlfHCb3-NoI/AAAAAAALftY/Nhckn3cev6M77q74aJMxHzeYVgyG2UAEQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200227-WA0046.jpg)
Akizungumza na waandishi wahabari Mkurugenzi wa...
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Dhana: Kazi Mpya ya Riyama, Kaa Mkao wa Kula
Mwaka ndio huo tumeshauanza, na kazi ndio hizi zipo jikoni karibu kutoka, Hii ni ya mwigizaji anaesifiwa kwa kuvaa vizuri (kwa heshima) sio mwigine ni, Rihaya Ally, filamu inaitwa Dhana,kwamaneno mafupi akizungumzia ujio wa filamu hii Riyama alisema;
“Dhana....... Mbayaaaaaaaaaa!! Kazini kazi ya mikono yangu wadau kaeni mkao wakula”
Tukae mkao wa kula,tuisubiri
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Dk3Wvnwkokg/VCxKqW5-v5I/AAAAAAAGnI4/ZYjL9PoT6QA/s72-c/Michuzi-Blog-800-X-600-Pixel(COFFEE).jpg)
10 years ago
Michuzi10 years ago
Bongo Movies12 Dec
Rose Ndauka na Richie:Pamoja Tena!!! Kaa Mkao wa Kula
Ikiwa ni siku chache tu zimebakia tuuage mwaka 2014 na tuukaribishe mwaka wa 2015 Mungu akipenda. Waigizaji Rose Ndauka na Single Mtambalike ‘Richie ‘ waneonekana wakiwa "Location" wakitengeneza filamu mpya ambayo kwa mujibu wa Rose ndauka kazi hiyo inafanyika chini ya kampuni ya Bulls Entertainment na kuongozwa na Richie ambae ni mkurugenzi wa kampuni hiyo.
Rose ndauka akionekana mwenye furaha akiwa na Richie alitupia picha mtandaoni na kuandika kwa kifupi zaidi kuwa watu wakae mkao wa...
10 years ago
VijimamboKIJIWE CHA UGHAIBUNI KURUDI HEWANI MWAKANI KAA MKAO WA KULA
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Kwa kuwa tuna mkao wa kula badala ya msimamo,mwisho mikono yote itamega matonge ya ugali wetu pamoja
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Bongo Movies16 May
Riyama Aonyesha Ujauzito Wake?!
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally ambaye ni mama wa mtoto mmoja , hivi juzi kati aliwaacha njia panda mashabiki wake mtandaoni baada ya kuweka picha hiyo akionyesha ujauzito na mpenzi wake akiwa ana ubusu.
Riyama alibandika picha hiyo kuandika “………?” kitu ambacho kiliwafanya mashabiki kupoteana kabisa, wapo ambao wadai kuwa mwanadada huyo yupo lokesheni anatengeneza muvi na wenngine kudai kuwa hiyo sio muvi bali ni kweli staa huyo kwasasa ni mjamzito.
Kwa siku za hivi karibuni staa huyo...