Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meek Mill kufanya alichokifanya Magufuli siku ya Uhuru

Meek-Mill-Debuts-Two-New-Songs-on-Hip-Hop-Chart-FDRMX

Meek Mill ameamriwa kufanya kazi za jamii kama vile kusafisha barabara na kazi zingine siku ya mkesha wa mwaka mpya.

Meek-Mill-Debuts-Two-New-Songs-on-Hip-Hop-Chart-FDRMX

Kutokana na amri hiyo, Meek atakosa show aliyokuwa afanye na mpenzi wake Nicki Minaj jijini Las Vegas. Tayari ametolewa kwenye matangazo ya show hiyo.

Mapema mwezi huu, Meek Mill alipatikana na hatia ya kukiuka masharti ya probation yaliyotokana na kesi yake ya mwaka 2008 ya kumiliki bunduki.

Ameamriwa kubakia Philadelphia hadi February 5 itakaposomwa hukumu yake.

Jiunge na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ....: RAIS MAGUFULI ATANGAZA SIKU YA UHURU KUWA SIKU YA KUFANYA KAZI

Kwa mujibu wa  Sheria ya Sikukuu za Kitaifa  (The Public Holidays Act, Cap 35) pamoja na Sheria zingine zinazompa mamlaka Rais kutangaza siku yoyote kuwa sikukuu au mapumziko,  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ameamua kuwa maadhimisho ya Sherehe za Uhuru na Jamhuri zitakazofanyika tarehe 9 Desemba, 2015, yatumike  kwa kufanya kazi.  
Kwamba maadhimisho ya Uhuru ya mwaka huu  (2015) yatatumika kama kichocheo cha kujenga tabia ya kufanya kazi...

 

9 years ago

Michuzi

MKOA WA DODOMA WAANZA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS MAGUFULI LA KUFANYA USAFI SIKU YA UHURU 9 DISEMBA, 2015

Mkoa wa Dodoma umeanza rasmi kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli lililotaka kufanyika kwa usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya nchi siku ya tarehe 9 Disemba, 2015 kama mojawapo ya maadhimisho ya siku ya uhuru na kuwataka viongozi na wataalamu kusimamia utekelezaji wa agizo hilo. 
 Uongozi wa Mkoa umeamua kuanza mapema zoezi la ufanyaji usafi pasipo kusubiri tarehe 9 Disemba na umepanga kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu...

 

9 years ago

Michuzi

Airtel waunga mkono tamko la Rais Dkt.Magufuli la kufanya usafi kama siku ya maadhimisho ya miaka 54 ya uhuru wa Tanzania




Baadhi ya Wafanyakazi wa Airtel mkoani Songea wakifanya usafi leo katika hospitali ya wilaya ya Nzega Ikiwa ni kuitikia wito wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli wa kutangaza siku ya 9 Desemba itumike kufanya usafi maeneo mbalimbali hapa nchini.

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kurudi tena jela?

Meek-Mill

Huenda furaha ya Meek Mill kumchumbia mpenzi wake Nicki Minaj ikaingia dosari Jumanne ijayo atakapopanda kizimbani huko Philadelphia.

Meek-Mill

Mtandao wa Page Six umedai kuwa Mill atapanda kizimbani kwenye kesi kuhusu masharti ya kusafiri.

Chanzo kimeiambia Page Six kuwa akilemaa anaweza kurudi tena jela.

Mwaka jana msanii huyo alilazimika kusitisha show zake baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kukiuka masharti ya probation.

Awali Mill alipewa probation ya miaka mitano mwaka 2009...

 

10 years ago

Africanjam.Com

9 years ago

Bongo5

Music: Meek Mill — ‘Preach (Remix)’

Meek Mill has officially moved on from his beef with Drake. The MMG rapper resurfaces with a freestyle to Young Dolph’s “Preach”. Over the Zaytoven-produced beat, Meek—who’s currently in Dubai with Nicki Minaj—counts his money and calls out the “sheisty bitches,” but makes no reference to Drizzy. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Davido Ft Meek Mill — Fans Mi

Davido kutoka Nigeria ameachia video yake mpya ambayo amemshirikisha rapper Meek Mill kutoka Maybach Music Related Tags:

 

10 years ago

GPL

MEEK MILL AKANA KUMUIBA NICKI MINAJ

Rapa Meek Mill. New York Marekani
RAPA Meek Mill ameamua kufunguka kuwa hakumuiba mpenzi wake wa sasa, Nicki Minaj kutoka kwa mpenzi wake wa zamani, Safaree Samuels ambaye alidumu na Minaj kwa miaka 12. Rapa Meek Mill akiwa na mpenzi wake Nick Minaj. “Awali, sikuwa na mipango na Nick kabisa, uhusiano wetu umetokea tu na wala sihusiki katika kuvunjika kwa penzi lake na mpenzi wake wa zamani,” alisema… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani