Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MEEK MILL AKANA KUMUIBA NICKI MINAJ

Rapa Meek Mill. New York Marekani
RAPA Meek Mill ameamua kufunguka kuwa hakumuiba mpenzi wake wa sasa, Nicki Minaj kutoka kwa mpenzi wake wa zamani, Safaree Samuels ambaye alidumu na Minaj kwa miaka 12. Rapa Meek Mill akiwa na mpenzi wake Nick Minaj. “Awali, sikuwa na mipango na Nick kabisa, uhusiano wetu umetokea tu na wala sihusiki katika kuvunjika kwa penzi lake na mpenzi wake wa zamani,” alisema… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Meek Mill amchumbia Nicki Minaj

12276932_1722929857930146_52455195_n

“Ntalalalala..you may now kiss the bride! Huenda muda si mrefu Meek Mill na Nicki Minaj wakawa wanachama wapya wa ndoa.

12353300_145621579135428_1770954360_n
Nicki Minaj akionesha pete aliyovishwa na Meek Mill

Picha za Instagram za Nicki Minaj zinaonesha kuwa rapper huyo amechumbiwa na mpenzi wake, Meek.

“Now this is what I’m talking about baby. Lol. Love u @meekmill,” ameandika Nicki kwenye picha ya mkono wake unaonesha pete ya uchumba kwenye kidole chake cha chanda.

“This stone is flawless. (My voice) lol,” ameandika kwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Napenda sana kumbusu Meek Mill — Nicki Minaj (Picha)

Rapper Meek Mill na mpenzi wake Nicki Minaj wataonekana kwenye jarida la mwezi ujao la GQ. Kwenye toleo hilo kutakuwepo na picha zao za pamoja huku jarida hilo likiwapa jina la “2015’s Bonnie and Clyde.” Picha hizo zilipigwa siku ile ile ambayo Drake aliachia single ya kumdiss Meek, . Charged Up. Kwenye mahojiano hayo Nicki […]

 

9 years ago

Global Publishers

Ndoa ya Nicki Minaj, Meek Mill yazua mjadala mitandaoni

Meek-Mill-Nicki-MinajNew York, Marekani

IKIWA zimepita siku chache baada ya rappa machachari kutoka Marekani Meek Mill amvalishe pete ya dhahabu mpenzi wake Nick Minaj kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni wapendanao hao  wameibua ‘headline’ kwenye Mtandao wa Kijamii wa Twitter baada ya Nick kuwauliza maswali mashabiki wake juu ya mahali pa kufanyia harusi hiyo akilenga ufukweni au kanisani.

Baada ya Nick, 33, kupost maswali hayo ndani ya muda mchache zaidi ya mashabiki wake 20,000 walitoa maoni...

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj adai anaichukua beef ya Meek Mill na Drake

Nicki Minaj amekava jarida la The New York Times na kuzungumzia mada kibao ikiwemo beef katika ya boyfriend wake, Meek Mill na msanii mwenzake wa Young Money, Drake. Nicki anadai kuwa hapendi kuona beef hiyo ikiendelea. “Wote ni wanaume, wanaume waliokua. Ni kati yao,” alisema. “Ninaichukia. Hainifanyi nijisikie vizuri. Hauwezi kamwe kutaka kuchagua upande kati […]

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj na Meek Mill kununua mjengo wa kifahari pamoja

Nicki Minaj na Meek Mill wanaupeleka uhusiano wao next level kwa kuamua kununua mjengo wa kifahari pamoja. Kwa mujibu wa TMZ wapenzi hao wanataka kununua nyumba yenye vyumba 9 huko Hollywood Hills. Inadaiwa kuwa tangu Nicki aachane na mpenzi wake Safaree Samuels na nyumba waliyokuwa wakiishi kupangishwa, hana sehemu yake mwenyewe. Pia Meek anayetokea Philadelphia […]

 

10 years ago

Bongo5

Video: Meek Mill Ft Nicki Minaj & Chris Brown – All Eyes on You

Rapper Meek Mill ametoa video mpya ya wimbo “All Eyes on You” amewashirikiksha girlfriend wake Nicki Minaj na RnB Superstar Chris Brown, wimbo huu ulifanya vizuri sana kwenye chati za Billboard. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

9 years ago

MillardAyo

Meek Mill matatani, licha ya Nicki Minaj kumtetea Mahakama haijamuacha bure!

Mwaka huu wa 2015 hautoisha poa kwa rapper wa Maybach Music Group, Meek Mill kwani baada ya kusimama Mahakamani kwa zaidi ya wiki mbili inaonekana jitihada zake za kujitetea kwanini hajatii sheria za kifungo chake cha nje hazijairidhisha Mahakama ya Philadelphia. Jana rapper huyo alipanda kizimbani kujitetea kwa mara ya mwisho lakini baada ya saa […]

The post Meek Mill matatani, licha ya Nicki Minaj kumtetea Mahakama haijamuacha bure! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj apotea kwenye mitandao ya kijamii ghafla, yadaiwa uhusiano na Meek Mill umeanza kumharibia

nn

Nicki Minaj amewatia hofu mashabiki wake baada ya kupotea kwenye Instagram na Twitter kwa zaidi ya wiki moja sasa.

nn

Chanzo kilicho karibu na Nicki Minaj kimeuambia mtandao wa Urban Islandz Jumatatu hii kuwa Nicki amepumzika na mitandao ya kijamii ili kurekodi muziki mpya na kutumia muda wake mwenyewe zaidi.

“After constantly being on the road and always working sometimes you need to take some time off to work on your personal life,” kilisema chanzo hicho.

Kiliendelea kuwa Minaj amekuwa kimya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani