‘Minofu ya Warioba’ iliyonyofolewa na Sitta
PAMOJA na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum, Andrew Chenge kusema kuwa asilimia 75 ya katiba inayopendekezwa imebeba maudhui ya Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania29 Aug
Sitta amjibu Warioba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA ESTHER MBUSSI, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amepinga madai ya Bunge hilo kuchukuliwa kama la mazuzu na baadhi ya watu kulishusha hadhi kwa kulifananisha na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Amesema Bunge hilo lina mamlaka zaidi kuliko tume hiyo, ndiyo maana linafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2013.
Sitta alisema hayo jana na...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Jaji Warioba: Namshangaa Sitta
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Sitta ‘amkataa’ Warioba bungeni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDIrAxgW4w2OBa4jImKRf5sxe7HZ6W915Sb84S1s2wLZXk5W*QIF5YTsAbbnNCOEbkKlophiXwvfRKJoYaSoWix-/warioba.jpg)
WANANCHI WAWASUBIRI WARIOBA, SITTA MTAANI
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Sitta azidi kuinanga rasimu ya Jaji Warioba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
MAREGESI PAUL NA RACHEL MRISHO, DODOMA
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameendelea kusisitiza kuwa rasimu ya Katiba mpya iliyosimamiwa na Jaji Joseph Warioba imejaa kasoro.
Kutokana na hali hiyo, amesema Bunge Maalumu la Katiba limelazimika kuiboresha kwa kuwa kila kitu kinachoandikwa na binadamu hakiwezi kuwa sahihi.
Sitta alitoa kauli hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akipokea...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Chuo kufundisha uandaaji wa minofu
WAKATI serikali imejielekeza katika kuvifanya Vyuo vya Ufundi vilivyoko Lindi na Mtwara kufundisha masomo yanayohusu rasilimali za gesi na mafuta, Chuo cha Lindi kitaanza pia kutoa mafunzo ya uandaaji wa minofu ya samaki kwa utaratibu wa kozi fupi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pSvEbfF9iZE/XuuHhdUuCVI/AAAAAAALugE/YtiHh18snQ0dFi7ZSGK6q1nlvjWUKeRfQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-28.jpg)
SERIKALI KUONGEZA IDADI YA NDEGE KUBEBA MINOFU YA SAMAKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pSvEbfF9iZE/XuuHhdUuCVI/AAAAAAALugE/YtiHh18snQ0dFi7ZSGK6q1nlvjWUKeRfQCLcBGAsYHQ/s640/1-28.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akifafanua jambo wakati akifungua mkutano wa pili wa kujadili namna ya kurahisisha usafirishaji wa minofu ya samaki kutokea Kiwanja cha Ndege cha Mwanza uliofanyika jijini Dodoma. Kikao hicho kimewakutanisha viongozi wakuu wa Wizara tano kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Dkt. Magufuli aahidi kujenga viwanda vya Mananasi, Pamba na minofu ya Samaki Geita
Mkazi wa Kijiji cha Nyamatongo, wilayani Sengerema, Mwanza, akiwa amevaa kichwani mfano wa karatasi la kupigiwa kura lenye picha ya Mgombea urais wa Tganzania kupitia CCM, Dk John Magufuli na mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan. Dk Magufuli alihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji hicho.
Dk Magufuli ameahidi kujenga viwanda vya kukamua juisi za mananasi yanayolimwa kwa wingi mkoani Geita ili kuongeza thamani ya zao hilo pamoja na kufufua viwanda vya pamba.PICHA NA RICHARD...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)