Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni

PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza kivuli la UKAWA lapongezwa

SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutangaza Baraza la Mawaziri Kivuli lililobeba sura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe. KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama vingine vya siasa kutoka upinzani. Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka...

 

10 years ago

Michuzi

Ofisi ya Kambi ya Upinzani Bungeni yaandaa futari wakati wa kikao cha ukawa jijini Dar es salaam

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa akishiriki futari iliyoandaliwa na Ofisi ya Kambi ya Upinzani Bungeni wakati wa kikao cha Viongozi Wakuu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na wabunge wa umoja huo kilichofanyika jana jijini Dar es Salaam kujadili mikakati mbalimbali ya ushindi kuelekea uchaguzi mkuu. Kushoto kwake ni Mbunge wa CUF, Ali Khamis Seif (Mkoani) na kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa NLD Zanzibar, Ahmad Hemed. Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi Afrika na kivuli cha Mandela

LEO shujaa mwingine mwana wa Afrika, Nelson Mandela (Madiba) anazikwa rasmi kijijini kwake ikiwa ni safari yake ya mwisho hapa duniani. Madiba atabaki kwenye kumbukumbu zetu kama mpigania uhuru aliyekomboa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaoogopa kivuli cha Tanganyika si Watanzania

KUNA kila dalili kwamba mwingiliano mkubwa ulioibuka tangu Tanganyika ilipokuwa Jamhuri huru, hauna chembe ya kuikubali nchi yao ya asili kwa hofu kubwa ya kuzaliwa kwa makundi haramu yanayoishi kiharamu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kivuli cha Blatter chaitesa Fifa

Siku mbili baada ya kutangaza kujiuzulu, aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter amejitokeza hadharani na kueleza imani yake ya kuendelea kuwa ofisini hadi Februari mwakani, muda unaodhaniwa kuwa utafanyika uchaguzi mdogo wa kumpata rais mpya wa Fifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba kutohojiwa bungeni

Kamati ya Kupitia Rasimu ya Kanuni za Bunge la Katiba imependekeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba asiulizwe maswali wakati wa kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba.

 

11 years ago

Michuzi

Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua

Na Frank Mvungi-Maelezo  Filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua kuzinduliwa Jijini Dar es salaam wiki ijayo ikiwa ni moja ya hatua za kuelekea maadhimisho ya Mkutano wa Kimataifa kuhusu ualbino unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mapema mwezi Mei mwaka huu.   Hayo yamesemwa na Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu uzinduzi wa filamu hiyo.   Bw. Josephat alisema kuwa katika uzinduzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta ‘amkataa’ Warioba bungeni

Jaribio la kutaka kumrejesha bungeni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ili ajibu masuala yaliyoibuliwa na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake ya kufungua Bunge limegonga mwamba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani