Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaoogopa kivuli cha Tanganyika si Watanzania

KUNA kila dalili kwamba mwingiliano mkubwa ulioibuka tangu Tanganyika ilipokuwa Jamhuri huru, hauna chembe ya kuikubali nchi yao ya asili kwa hofu kubwa ya kuzaliwa kwa makundi haramu yanayoishi kiharamu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi Afrika na kivuli cha Mandela

LEO shujaa mwingine mwana wa Afrika, Nelson Mandela (Madiba) anazikwa rasmi kijijini kwake ikiwa ni safari yake ya mwisho hapa duniani. Madiba atabaki kwenye kumbukumbu zetu kama mpigania uhuru aliyekomboa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kivuli cha Blatter chaitesa Fifa

Siku mbili baada ya kutangaza kujiuzulu, aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter amejitokeza hadharani na kueleza imani yake ya kuendelea kuwa ofisini hadi Februari mwakani, muda unaodhaniwa kuwa utafanyika uchaguzi mdogo wa kumpata rais mpya wa Fifa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni

PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...

 

11 years ago

Michuzi

Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua

Na Frank Mvungi-Maelezo  Filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua kuzinduliwa Jijini Dar es salaam wiki ijayo ikiwa ni moja ya hatua za kuelekea maadhimisho ya Mkutano wa Kimataifa kuhusu ualbino unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mapema mwezi Mei mwaka huu.   Hayo yamesemwa na Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu uzinduzi wa filamu hiyo.   Bw. Josephat alisema kuwa katika uzinduzi wa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua

01

Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner akiongea na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu na uzinduzi wa filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” utakaofanyika mwezi Mei 2, mwaka huu ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. 

02

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la Kiserikali la Standing Voice lililofadhili mradi wa uandaaji wa Filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” Bw. Jon Beale...

 

10 years ago

GPL

KATIBA INAYOPENDEKEZWA NI KIVULI CHA ‘KATIBA YA NYERERE’

Tundu Lisu. UKITAKA kuwaudhi Watanzania wengi – wasomi na wajinga, wafupi na warefu, walevi na wasiotumia vileo  – unachotakiwa kufanya ni kutaja makosa aliyoyafanya Rais wa Kwanza wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere akiwa madarakani.  Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki, katika mijadala ya kuweka mambo sawa kitaifa, aliposema: “Nyerere hakuwa  Mungu” akimaanisha yaliyofanywa na kusemwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: Nimekaa kimya naomboleza kifo cha Tanganyika

Mjumbe wa Bunge la Katiba, James Lembeli (CCM) amefananisha kitendo cha kuuawa kwa Tanganyika katika Katiba mpya na uharamia.

 

11 years ago

Michuzi

WAKAZI WA KIJIJI CHA KABWE WILAYANI NKASI MKOANI RUKWA WAFAIDIKA NA UVUVI WA SAMAKI ZIWA TANGANYIKA

 Baadhi ya akina mama wanaojishughulisha na biashara ya samaki,wakiwa wametoka bandari ya Kabwe,Wilayani Nkasi mkoani Rukwa mapema leo,ambapo dishi moja kama uonavyo pichani huuzwa kati ya shilingi Elfu 30,000/=  Akina mama wakiwa na madishi yao ya samaki,akina mama wengi eneo hilo wameeleza kuwa wanafaidika na biashara hiyo ya samaki kwa kujiingizia kipato na hatimaye kujikwamua na ugumu wa maisha,wameeleza kuwa changamoto yao kubwa ni mitaji ya kutosha ili kuendeleza biashara hiyo...

 

9 years ago

Michuzi

Watanzania wahitimu shahada ya uzamili kutoka taasisi ya kimataifa international institute of social studies ya chuo kikuu cha Erasmus cha nchini uholanzi.

Watanzania wahitimu shahada ya uzamili kutoka  taasisi ya kimataifa International Institute of Social Studies ya chuo kikuu cha Erasmus cha nchini uholanzi.Kutoka kushoto ni Mama  Agnes mtumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini uholanzi,   Shamy Chamicha mhitimu shahada ya uzamili ya uchumi, Balozi wa tz nchini uholanzi mh.Irene kasyanjo, Ruth John  mhitimu shahada ya uzamili ya uhakiki wa chakula na mazingira, Jackson Bulili mhitimu shahada ya uzamili Uchumi na Rector wa taasisi hiyo mhe. Inge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani