Waziri Mkuu Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua
Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner akiongea na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu na uzinduzi wa filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” utakaofanyika mwezi Mei 2, mwaka huu ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la Kiserikali la Standing Voice lililofadhili mradi wa uandaaji wa Filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” Bw. Jon Beale...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua
Na Frank Mvungi-Maelezo
Filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua kuzinduliwa Jijini Dar es salaam wiki ijayo ikiwa ni moja ya hatua za kuelekea maadhimisho ya Mkutano wa Kimataifa kuhusu ualbino unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mapema mwezi Mei mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu uzinduzi wa filamu hiyo.
Bw. Josephat alisema kuwa katika uzinduzi wa...
11 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA KIWANDA CHA TREKTA POLAND

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda atatuma wataalamu wa sekta ya kilimo ili waje kufuatilia suala la mahitaji ya trekta ili kuziba pengo la mahitaji yake nchini Tanzania.
Alisema lengo la Serikali la kuanzisha sera ya Kilimo Kwanza lilikuwa ni kuwasaidia wakulima kupata ruzuku ya pembejeo, mbegu bora, na dawa za mifugo ili waweze kuongeza ushalishaji.
“Kutokana na mkopo wa Serikali ya India, tulipata matrekta 1,846 ambayo hayakuchukua muda kuisha. Sasa hivi tunatafuta wabia wengine wa kutupatia...
10 years ago
Vijimambo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma


10 years ago
Michuzi.jpg)
WAHITIMU 10 WAKABIDHIWA MILIONI 10 ZA WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA
.jpg)
.jpg)
.jpg)
9 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU MSTAAFU MIZENGO PINDA AFUNGUA KITUO CHA UTAMADUNI WA CHINA NCHINI TANZANIA


9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Waziri Mkuu Majaliwa amtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda!

10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA ASALIMIANA NA ALIYEKUWA MBUNGE WA MPANDA KATI KWA CHAMA CHA CHADEMA MH.ARFI
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI GONJA MHEZA WILAYANI SAME.
9 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU MAJALIWA AMTEMBELEA WAZIRI MKUU MSTAAFU PINDA


Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakati alipomtembelea nyumbani kwake katika kijiji cha Zuzu, nje kidogo ya mji wa Dodoma Jumamosi Novemba 21, 2015.

Waziri Mkuu,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
09-May-2025 in Tanzania