Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua

Na Frank Mvungi-Maelezo  Filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua kuzinduliwa Jijini Dar es salaam wiki ijayo ikiwa ni moja ya hatua za kuelekea maadhimisho ya Mkutano wa Kimataifa kuhusu ualbino unaotarajiwa kufanyika hapa nchini mapema mwezi Mei mwaka huu.   Hayo yamesemwa na Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu uzinduzi wa filamu hiyo.   Bw. Josephat alisema kuwa katika uzinduzi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua

01

Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner akiongea na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu na uzinduzi wa filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” utakaofanyika mwezi Mei 2, mwaka huu ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. 

02

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la Kiserikali la Standing Voice lililofadhili mradi wa uandaaji wa Filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” Bw. Jon Beale...

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MOVIE: CHINI YA JUA "UNDER THE SUN" FROM AKIM MASTERS FILM


Chini ya Jua "Under The Sun" is a scary movie that reflects that situation when a person face challenges in life and feel like God is not on his side anymore.
That situation leads him to seek success in life through the darkness side by killing innocent people.
This movie is made in Tanzania and it is distributed by AKIM MASTER FILMS.

Chini ya jua ni filamu ya kutisha inayoonyesha mazingira ya kitanzania pale mtu anapokumbana na mitihani na kuona kama Mungu amemsahauna kuamua kuabudu miungu...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

10 years ago

Mwananchi

Kivuli cha Blatter chaitesa Fifa

Siku mbili baada ya kutangaza kujiuzulu, aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter amejitokeza hadharani na kueleza imani yake ya kuendelea kuwa ofisini hadi Februari mwakani, muda unaodhaniwa kuwa utafanyika uchaguzi mdogo wa kumpata rais mpya wa Fifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi Afrika na kivuli cha Mandela

LEO shujaa mwingine mwana wa Afrika, Nelson Mandela (Madiba) anazikwa rasmi kijijini kwake ikiwa ni safari yake ya mwisho hapa duniani. Madiba atabaki kwenye kumbukumbu zetu kama mpigania uhuru aliyekomboa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaoogopa kivuli cha Tanganyika si Watanzania

KUNA kila dalili kwamba mwingiliano mkubwa ulioibuka tangu Tanganyika ilipokuwa Jamhuri huru, hauna chembe ya kuikubali nchi yao ya asili kwa hofu kubwa ya kuzaliwa kwa makundi haramu yanayoishi kiharamu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni

PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...

 

10 years ago

Mtanzania

Rais Kikwete kuzindua filamu ya Mamba

jk...NA OSCAR ASSENGA, TANGA

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa
Filamu ya Mamba wa Mto Zigi itakayozinduliwa Juni 5, mwaka huu katika viwanja vya Tangamano, jijini Tanga.

Kaimu Ofisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira jijini Tanga (Tanga Uwasa), Ramadhani Nyambuka, alisema filamu hiyo inaelezea jinsi ya mvutano kati ya Mamba wa Mto Zigi na wananchi katika Bwawa la Mabayani.

Filamu hiyo imeandaliwa na Tanga Uwasa, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani