NEW MOVIE: CHINI YA JUA "UNDER THE SUN" FROM AKIM MASTERS FILM

Chini ya Jua "Under The Sun" is a scary movie that reflects that situation when a person face challenges in life and feel like God is not on his side anymore.
That situation leads him to seek success in life through the darkness side by killing innocent people.
This movie is made in Tanzania and it is distributed by AKIM MASTER FILMS.
Chini ya jua ni filamu ya kutisha inayoonyesha mazingira ya kitanzania pale mtu anapokumbana na mitihani na kuona kama Mungu amemsahauna kuamua kuabudu miungu...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com
NEW MOVIE: "DUNIA" FROM AKIM MASTERS FILM

Filamu ya dunia kutoka AKIM MASTER FILMS ni filamu inayoelezea maisha ya wanaomtumikia Mungu maisha yao jinsi yalivyo, maisha ya wanaomtumikia shetani na pia maisha ya watu wanaomtumikia Mungu huku nyuma ya pazia wanamtumikia shetani. Filamu hii imeandaliwa na kusambazwa na AKIM MASTERS FILMS ambao pia walitengeneza filamu iliyofanya vizuri sokoni ya CHINI YA JUA
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain...
10 years ago
Africanjam.Com
NEW MOVIE: "HISIA" FROM AKIM MASTER FILM

Filamu mpya ya kusisimua HISIA imeingia rasmi sokoni tarehe 27/07/2015 na kusambazwa na kampuni ya AKIM MASTERS FILM ndani na nje ya nchi.
Filamu hii imeelezea undani wa sanaa na wasanii pia. Inaelezea uhalisia uliopo pale mtu anapoingia katika sanaa na kudharaulika na badae anapofanikiwa kuanza kusifiwa kila kona. Pia inaeleza namna ambavyo vijana wanavyowaona na kuwachukulia wasanii kwa namna wanavyowaona katika Tv na maonyesho bila kujua undani na uhalisia wa maisha yao.
Waigizaji wakuu...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua
11 years ago
Dewji Blog26 Apr
Waziri Mkuu Pinda kuzindua filamu ya Chini ya Kivuli cha Jua
Afisa Mahusiano na Habari wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Josephat Torner akiongea na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam kuhusu na uzinduzi wa filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” utakaofanyika mwezi Mei 2, mwaka huu ambapo Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la Kiserikali la Standing Voice lililofadhili mradi wa uandaaji wa Filamu ya “Chini ya Kivuli cha Jua” Bw. Jon Beale...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Tanzania Movie Talents (TMT): Nani kuchomwa na jua la utosi wiki hii?








ILI KUWANUSURU AU KUMNUSURU MSHIRIKI UMPENDAE AENDELEE KUWEPO NDANI YA NYUMBA YA TMT UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUMPIGIA KURA KWA WINGI SANA.
JINSI YA KUPIGA KURA NI ANDIKA NENO “TMT” ikifuatiwa na namba yake ya ushiriki halafu tuma kwenda 15678. Mfano TMT00 tuma kwenda 15678








ILI KUWANUSURU AU KUMNUSURU MSHIRIKI UMPENDAE AENDELEE KUWEPO NDANI YA NYUMBA YA TMT UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUMPIGIA KURA KWA WINGI SANA.
JINSI YA KUPIGA KURA NI ANDIKA NENO “TMT” ikifuatiwa na namba...
10 years ago
Bongo Movies27 Feb
Chozi La Riziki: Shamsa Ford Ndani, Chini ya Jerusalem Film Company
"Kutokana na upendo wake kwangu alithubutu kuniambia kuwa alitamani nizaliwe tumbo moja na yeye ili asiweze kunipoteza katika maisha yake coz tukiishia wapenzi itafika muda tutagombana na tutaachana..But yote yalikuwa ni maneno tu ambayo kila mwanadamu anaweza kutaamka..Siamini kama leo hii nimekua ADUI yake mkubwa.....coming soon hayo maneno utayasikia kwenye bonge la movie CHOZI LA RIZIK".
Shamsa aliandika maneno hayo mtandaoni akiwa ‘lokesheni’ na kuwashukuru Jerusalem Filim Campany...
5 years ago
The Guardian11 Mar
Edinburgh film festival organisers submit plan for £50m movie centre
5 years ago
CinemaBlend23 Feb
Why Ben Affleck Is Nervous To Film His New Movie With Matt Damon, Adam Driver, And Jodie Comer