KATIBA INAYOPENDEKEZWA NI KIVULI CHA ‘KATIBA YA NYERERE’
![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aTOoFaoaeg-f9WPKjDyPipOsHs*CE6zBWtKjHlkcTjxL3z5H-0LPuylZPIxc78JbM0b4PsZ35YZGM1ObKWabGLc/TunduLissu.jpg?width=650)
Tundu Lisu. UKITAKA kuwaudhi Watanzania wengi – wasomi na wajinga, wafupi na warefu, walevi na wasiotumia vileo – unachotakiwa kufanya ni kutaja makosa aliyoyafanya Rais wa Kwanza wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere akiwa madarakani. Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki, katika mijadala ya kuweka mambo sawa kitaifa, aliposema: “Nyerere hakuwa Mungu†akimaanisha yaliyofanywa na kusemwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZRThfVVNSbCOmFiN*wfTCycf-cQ83j9rHOumWBCsBO-ETXw4K23r5SrvJRhUHdmqehVqM0-0bMb4HwLPN-Cle8/unnamed72.jpg?width=650)
MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPvKO*I18G*zoKKVOqPiJbk3hac3tp1KmmSacgAsLTGhHxV9ItnQuNE6RjKLJBMyojayGc75s-oMvzOngCDta9jEzGTfpW14/breakingnews.gif)
BUNGE MAALUM LA KATIBA LAPITISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kihunzi kingine cha Katiba inayopendekezwa
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3brXBUnauTg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Sep
Mtandao wa Wanawake na Katiba Kuelimisha Katiba Inayopendekezwa
![Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Prof. Ruth Meena akizungumza katika Kongamano la Wanaharakati Kujadili masuala muhimu kwenye mchakato wa Katiba Mpya lililofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0138.jpg)
![Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akizungumza katika Kongamano la Wanaharakati Kujadili masuala muhimu kwenye mchakato wa Katiba Mpya lililofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0181.jpg)
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP, Lilian Liundi akizungumza katika Kongamano la Wanaharakati Kujadili masuala muhimu kwenye mchakato wa Katiba Mpya lililofanyika jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/09/IMG_0236.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-dzQg45BIEYc/VVnlGoazqeI/AAAAAAADnl0/Upn4sXg0aQ8/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) WATOA ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WANANCHI ZANZIBAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dzQg45BIEYc/VVnlGoazqeI/AAAAAAADnl0/Upn4sXg0aQ8/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y_X_hMwIXIs/VVnkywDaS0I/AAAAAAADnlU/6oEYq3pzs7Y/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-G1YcW7fKNKg/VVnk5gN8cAI/AAAAAAADnlc/LJ5sHj7BTsc/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--tfneBVi_b0/VVnk95eKxYI/AAAAAAADnlk/xgYztjPXXuE/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDIQt9VMM6I/VVnlCH1Z39I/AAAAAAADnls/1YtXnjAfndI/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-syrLG1hfA2k/VQyP3b8jqfI/AAAAAAAHLxI/z2wbqIy_RqQ/s72-c/unnamed%2B(71).jpg)