Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza kivuli la UKAWA lapongezwa

SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutangaza Baraza la Mawaziri Kivuli lililobeba sura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baadhi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe. KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama vingine vya siasa kutoka upinzani. Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli

>Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Baraza Kivuli ni leo, Mbatia, Kafulila, Mnyaa watajwa

>Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kwa siku ya pili jana alikuwa katika wakati mgumu kuunda baraza jipya kivuli la mawaziri.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli

Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni

PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...

 

11 years ago

GPL

GAZETI LA CHAMPIONI LAPONGEZWA

Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kulia) akimpa zawadi ya shilingi elfu hamsini (50,000) Bi. Rose Majembe baada ya kumkuta kwenye biashara yake ya kukaanga mihogo, Mwenge jijini Dar es Salaam. Katikati ni wahariri wa Championi, John Joseph na Philip Nkini mwingine ni dada aliyekutwa akinunua mihogo.
Mhariri Kiongozi wa Championi, akizungumza na msomaji wa gazeti hilo aliyemkuta… ...

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Vijimambo

UNAAMBIWA HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA UKAWA LITAKALOTANGAZWA OKTOBA 2015!


Edward Ngoyayi Lowassa (Chadema) - Rais 
Profesa Nguyulu Ibrahim Haruna Lipumba (CUF) - Makamu Freeman Aikaeli Mbowe (Chadema) - Mambo ya Nje 


Halima James Mdee (Chadema) - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

John John Mnyika (Chadema) - Fedha na Uchumi

David Kafulila (NCCR-Mageuzi) - Kazi na Ajira

David Ernest Silinde (Chadema) - Tamisemi

Dk. Emmanuel John Makaidi (NLD) - Viwanda, Biashara na Masoko

James Mbatia (NCCR-Mageuzi) - Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Joseph Selasini (Chadema) - Ofisi ya Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani