Baraza kivuli la UKAWA lapongezwa
SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutangaza Baraza la Mawaziri Kivuli lililobeba sura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baadhi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIlc-W8MFwfRO8hSQ4OijJ0png-gbFNxsZ3cxK89MFttxHS-EgJ7v11yTPL5lOcbNCG4BEFF4-WJTIdAMlnVXTj/FreemanMbowe.jpg?width=650)
BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe. KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama vingine vya siasa kutoka upinzani. Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka...
11 years ago
Mwananchi07 May
Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli
>Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.
11 years ago
Mwananchi09 May
Baraza Kivuli ni leo, Mbatia, Kafulila, Mnyaa watajwa
>Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kwa siku ya pili jana alikuwa katika wakati mgumu kuunda baraza jipya kivuli la mawaziri.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli
Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni
PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bdOTGlbNKtqf7VeH6DH1rGYpQR0VmaxMi-HFv8Eso9S3b7VL26*nT6D1Lz6uAinfhKBvyD0xgjU9se3Zp5dusaQJ7LPhMqNv/championi1.jpg?width=650)
GAZETI LA CHAMPIONI LAPONGEZWA
Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kulia) akimpa zawadi ya shilingi elfu hamsini (50,000) Bi. Rose Majembe baada ya kumkuta kwenye biashara yake ya kukaanga mihogo, Mwenge jijini Dar es Salaam. Katikati ni wahariri wa Championi, John Joseph na Philip Nkini mwingine ni dada aliyekutwa akinunua mihogo.
Mhariri Kiongozi wa Championi, akizungumza na msomaji wa gazeti hilo aliyemkuta… ...
11 years ago
Dewji Blog20 May
Tamko la Wajumbe wa Baraza Kuu na Mkutano Mkuu wa Chadema kuhusu Ukawa
Taarifa Kwa Umma – Mashariki by moblog
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-13l4UU4L67c/VcCEfTYt8HI/AAAAAAAAInI/VCT85Jwx0do/s72-c/Edward%2BNyoyai%2BLowasa.jpg)
UNAAMBIWA HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA UKAWA LITAKALOTANGAZWA OKTOBA 2015!
![](http://3.bp.blogspot.com/-13l4UU4L67c/VcCEfTYt8HI/AAAAAAAAInI/VCT85Jwx0do/s640/Edward%2BNyoyai%2BLowasa.jpg)
Edward Ngoyayi Lowassa (Chadema) - Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-njKeveZopFE/VcCGG8G2jjI/AAAAAAAAIpQ/geEnTKz4Zsw/s640/Profesa%2BIbrahim%2BLipumba.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57L3AHsrRy8/VcCFFp6x-kI/AAAAAAAAIng/mijmXMTIyzc/s640/Freeman%2BMbowe.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ct_9RScTK5E/VcCGEZI1AmI/AAAAAAAAIpI/UHSyIjs6j34/s640/Halima%2BMdee.jpg)
Halima James Mdee (Chadema) - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-O5qAU8cvNP8/VcCFWSu0KtI/AAAAAAAAIoA/7u1CL1G870k/s640/John%2BMnyika.jpg)
John John Mnyika (Chadema) - Fedha na Uchumi
![](http://1.bp.blogspot.com/-bhCLyMNKg_Q/VcCExDKQCdI/AAAAAAAAInY/6uihGWNkid8/s640/David%2BKafulila.jpg)
David Kafulila (NCCR-Mageuzi) - Kazi na Ajira
![](http://1.bp.blogspot.com/-p5myY9HPtX0/VcCD9-5BMxI/AAAAAAAAIm4/qCjSgklde34/s640/David%2BSilinde.jpg)
David Ernest Silinde (Chadema) - Tamisemi
![](http://2.bp.blogspot.com/-mxnSoDAT2EY/VcCEFULg3DI/AAAAAAAAInA/_JC0TKW4DbU/s640/Dk.%2BEmmanuel%2BMakaidi.jpg)
Dk. Emmanuel John Makaidi (NLD) - Viwanda, Biashara na Masoko
![](http://3.bp.blogspot.com/-0jyXzX4mZvE/VcCFORrI1wI/AAAAAAAAIno/xlQX1kDJbKQ/s640/James%2BMbatia.jpg)
James Mbatia (NCCR-Mageuzi) - Elimu na Mafunzo ya Ufundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-hvF2NIKreJY/VcCFQ1f__EI/AAAAAAAAInw/qLhmlykOJ6I/s640/Joseph%2BRoman%2BSelesini.jpg)
Joseph Selasini (Chadema) - Ofisi ya Rais...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania