Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza Kivuli ni leo, Mbatia, Kafulila, Mnyaa watajwa

>Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kwa siku ya pili jana alikuwa katika wakati mgumu kuunda baraza jipya kivuli la mawaziri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI KIVULI WA FEDHA, JAMES MBATIA AZUNGUMZIA KUPOROMOKA KWA THAMANI YA SHILINGI TANZANIA

 Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia. Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Ofisi Ndogo ya Bunge jijini Dar es Salaam leo, kuhusu kuporomoka kwa thamani ya shilingi ya Tanzania. Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.(Imeandaliwa na mtandao wa http://www.habarizajamii.com/)

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza kivuli la UKAWA lapongezwa

SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutangaza Baraza la Mawaziri Kivuli lililobeba sura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baadhi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli

>Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.

 

11 years ago

GPL

BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe. KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama vingine vya siasa kutoka upinzani. Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli

Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyaa: Wametuchakachua

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni mwakilishi wa wajumbe wachache walioko katika Kamati namba moja, Mohamed Habib Mnyaa, amemtuhumu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Ummy Mwalimu kuwasilisha maoni...

 

10 years ago

Michuzi

MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO (MBATIA CUP 2015).

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa,James Mbatia akisamiana na wachezaji wa timu ya Wazalendo fc kabla ya kuanza kwa mchezo.
Mh Mbatia akikabidhi zawadi ya kikombe kwa mabingwa wa mashindano hayo timu ya Himo fc,iliyochomoza na ushindi dhidi ya Wazalendo fc wa bao 2 kwa 0.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani