Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli
>Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli
11 years ago
Mwananchi07 May
Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho
11 years ago
Mwananchi10 May
Mbowe atangaza mawaziri kivuli
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Baraza kivuli la UKAWA lapongezwa
SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutangaza Baraza la Mawaziri Kivuli lililobeba sura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baadhi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIlc-W8MFwfRO8hSQ4OijJ0png-gbFNxsZ3cxK89MFttxHS-EgJ7v11yTPL5lOcbNCG4BEFF4-WJTIdAMlnVXTj/FreemanMbowe.jpg?width=650)
BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA
11 years ago
Mwananchi09 May
Baraza Kivuli ni leo, Mbatia, Kafulila, Mnyaa watajwa
9 years ago
VijimamboHABARI24 TV--MGOGORO WA NCCR MAGEUZI-MBOWE
Mh MBOWE akizngumza na wahabari mapema leo Jijini Dar es salaamUmoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo umeitaka Tume ya taifa ya uchaguzi kutoa tamko kuhusu kauli iliyotoleawa na mmoja wa viongozi wa CCM kuwa chama hicho hakipo tayari kuondoka ikulu hata kama kitashindwa katika uchaguzi ujao mwaka huu.Kauli hiyo ilitolewa katika kampeni za Urais mkoani kigoma na mmoja kati ya viongozi wa chama hicho ndugu ABDALA BULEMBO ambapo alisema kuwa hakuna njia inayoweza kuwaondoa ikulu na chama cha...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO: Mh Mbowe Ajibu Malalamiko ya Viongozi wa NCCR-Mageuzi
Sunday, September 20, 2015 MWENYEKITI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye pia ni mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananachi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema, wanaoleta chokochoko ndani ya umoja huo walitaka upendeleao. Kauli […]
The post VIDEO: Mh Mbowe Ajibu Malalamiko ya Viongozi wa NCCR-Mageuzi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo16 Sep
Mbunge avitabiria CUF, NCCR anguko
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuungana kwa vyama vinne ya siasa vya upinzani na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) hasa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, ni sawa na kujiua kisiasa na kukijenga zaidi Chadema.