Mbunge avitabiria CUF, NCCR anguko
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuungana kwa vyama vinne ya siasa vya upinzani na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) hasa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, ni sawa na kujiua kisiasa na kukijenga zaidi Chadema.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Dec
CUF yatetea anguko lake serikali za mitaa
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimeelezea sababu za kufanya vibaya katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli
11 years ago
Habarileo25 Apr
Viongozi Chadema, CUF, NCCR watakiwa kujiuzulu
WANACHAMA wa vyama vya siasa vya upinzani kikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi-CUF, wametakiwa kuwashurutisha viongozi wao wa kitaifa wajiuzulu mara moja kwa kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
CUF, NCCR walaani Polisi kupiga waandishi
CHAMA cha Wananchi (CUF), na NCCR Magaeuzi, vimelaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuwapiga Waandishi wa Habari waliokuwa wakifuaitilia kuhojiwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Makilagi: Chadema ‘imeiua’ CUF, NCCR Uchaguzi Mitaa
10 years ago
Mwananchi13 May
Ukawa safi, lakini huu ni mwisho wa CUF, NCCR
11 years ago
Habarileo12 May
Nape asema ni ndoa ya Chadema, CUF, NCCR ya ubabaishaji
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.
11 years ago
Habarileo12 May
Mrema aiombea heri ndoa ya Chadema, CUF, NCCR
MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba ni ndoa ambayo kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku nyingi tangu Chadema kilipounda baraza lake mwaka 2010.