Nape asema ni ndoa ya Chadema, CUF, NCCR ya ubabaishaji
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema ‘ndoa’ upinzani bungeni iliyozaa Baraza Kivuli la Mawaziri la vyama vya Chedema, CUF na NCCR-Mageuzi, ni mwendelezo wa ubabaishaji na matusi makubwa kwa vyama vingine vilivyokubali ndoa hiyo hasa CUF.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 May
Mrema aiombea heri ndoa ya Chadema, CUF, NCCR
MBUNGE wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP ) ametaja ushirikiano wa vyama vitatu vinavyounda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwamba ni ndoa ambayo kama wahusika wangekuwa na nia njema, ungeanza siku nyingi tangu Chadema kilipounda baraza lake mwaka 2010.
11 years ago
Habarileo25 Apr
Viongozi Chadema, CUF, NCCR watakiwa kujiuzulu
WANACHAMA wa vyama vya siasa vya upinzani kikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi-CUF, wametakiwa kuwashurutisha viongozi wao wa kitaifa wajiuzulu mara moja kwa kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Makilagi: Chadema ‘imeiua’ CUF, NCCR Uchaguzi Mitaa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HY9aVe6jJNM/VE0Us6ZWRnI/AAAAAAAAYW4/uuQWKXVRt50/s72-c/1.jpg)
CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI NA NLD VYATILIANA SAINI MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO HII LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HY9aVe6jJNM/VE0Us6ZWRnI/AAAAAAAAYW4/uuQWKXVRt50/s1600/1.jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Mar
CCM, Chadema, CUF wanavuruga Bunge, asema Dovutwa
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s72-c/DSC_0332.jpg)
ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1yPVaq1AkWI/VhZx8FbTPaI/AAAAAAAH93w/wDv3DVxQEzk/s640/DSC_0332.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2x-cksUbxNk/VhZx9i7TlQI/AAAAAAAH934/aZSF8Rr2bTk/s640/DSC_0343.jpg)
Na Chalila KibudaAALIYEKUWA Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
Habarileo16 Sep
Mbunge avitabiria CUF, NCCR anguko
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuungana kwa vyama vinne ya siasa vya upinzani na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) hasa katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, ni sawa na kujiua kisiasa na kukijenga zaidi Chadema.
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
CUF, NCCR walaani Polisi kupiga waandishi
CHAMA cha Wananchi (CUF), na NCCR Magaeuzi, vimelaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi kuwapiga Waandishi wa Habari waliokuwa wakifuaitilia kuhojiwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...