Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli
>Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli
Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.
11 years ago
Mwananchi10 May
Mbowe atangaza mawaziri kivuli
>Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, ametangaza Baraza lake la mawaziri kivuli 28 na naibu mawaziri 12, na kufanya baraza lote kuwa na mawaziri 40.
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Baraza kivuli la UKAWA lapongezwa
SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutangaza Baraza la Mawaziri Kivuli lililobeba sura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baadhi ya...
11 years ago
GPL
BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA
Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe. KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama vingine vya siasa kutoka upinzani. Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka...
11 years ago
Mwananchi09 May
Baraza Kivuli ni leo, Mbatia, Kafulila, Mnyaa watajwa
>Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kwa siku ya pili jana alikuwa katika wakati mgumu kuunda baraza jipya kivuli la mawaziri.
10 years ago
Michuzi12 Jun
10 years ago
Vijimambo
MBOWE BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE

10 years ago
Vijimambo28 Aug
Mbowe: Njooni Jangwani kesho

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefuta mzizi wa fitina kuhusiana na tishio la kuzuiwa kufanya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kesho kwa kuwataka wajitokeze siyo kwa maelfu bali kwa mamilioni.
Akizungumza katika kongamano la kina mama lililoandaliwa na Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) jijini Dar es Salaam jana, Mbowe alisema mgombea wao, Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Dunia Haji, watahutubia mkutano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania