Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe kutangaza Baraza Kivuli kesho

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kesho atatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kuwateua Cuf, NCCR Baraza Kivuli

>Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe kuwateua CUF, NCCR-Mageuzi, Baraza la Kivuli

Mvutano katika mchakato wa Katiba umeimarisha ushirikiano wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi na sasa kuna mpango wa kuundwa upya kwa Baraza la Mawaziri Kivuli ambalo litawajumuisha wabunge wa vyama hivyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe atangaza mawaziri kivuli

>Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, ametangaza Baraza lake la mawaziri kivuli 28 na naibu mawaziri 12, na kufanya baraza lote kuwa na mawaziri 40.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza kivuli la UKAWA lapongezwa

SIKU moja baada ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, kutangaza Baraza la Mawaziri Kivuli lililobeba sura za wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), baadhi ya...

 

11 years ago

GPL

BARAZA KIVULI LA UKAWA HALINA MASHIKO KISIASA

Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe. KIONGOZI wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Alikael Mbowe ametangaza baraza lake kivuli, kufuatia ahadi yake ya hivi karibuni kuwa atalivunja lile la awali, lililokuwa likiundwa na wabunge kutoka Chadema pekee, ili sasa awajumuishe na wabunge wa vyama vingine vya siasa kutoka upinzani. Baraza hilo jipya limetangazwa likiwa na mawaziri vivuli kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Baraza Kivuli ni leo, Mbatia, Kafulila, Mnyaa watajwa

>Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kwa siku ya pili jana alikuwa katika wakati mgumu kuunda baraza jipya kivuli la mawaziri.

 

10 years ago

Vijimambo

MBOWE BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE

Kigoma. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais Jakaya Kikwete kulivunja Baraza la Mawaziri na kuunda jipya kutokana na tuhuma za ufisadi.Katika taarifa yake aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari baada ya mikutano yake katika mikoa ya Magharibi alisema ni lazima hatua hiyo kuchukuliwa ili kukabiliana na mafisadi ambao hakuwataja, vinginevyo alisema Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni anayoiongoza, itaanza maandalizi ya kuwasilisha bungeni, hoja ya kutokuwa na imani naye.Alisema...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbowe: Njooni Jangwani kesho



Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefuta mzizi wa fitina kuhusiana na tishio la kuzuiwa kufanya mkutano wa uzinduzi wa kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kesho kwa kuwataka wajitokeze siyo kwa maelfu bali kwa mamilioni.

Akizungumza katika kongamano la kina mama lililoandaliwa na Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) jijini Dar es Salaam jana, Mbowe alisema mgombea wao, Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Dunia Haji, watahutubia mkutano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani