MWENYEKITI SITTA ASEMA MJADALA UNAENDELEA WAKATI MHE EZEKIEL OLUOCH AREJEA BUNGENI AKITANGAZA HANA KUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-E2KFjjTr4AE/U1c7mpw_u2I/AAAAAAAFcac/CX1-_gB86pI/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Wakati bunge Maalum la Katiba linaendelea na kikao leo, baadhi ya wajumbe waliokuwa wanasemekana kuwa ni wanachama wa umoja wa kinachoitwa katiba ya wananchi (UKAWA) wamejitokeza na baadhi yao kukanusha kuunga mkono umoja huo. Mmoja wao ni Mhe Ezekiel Oluoch ambaye alikuwa anadaiwa kuwa miongoni mwa WANA UKAWA aliingia Bungeni jana na kukana kuhusika na umoja huo na kuongeza kuwa yeye hana kundi lolote ndani ya bunge, na kwamba ataendelea na kazi ya aliyoteuliwa kuifanya.
Mjumbe wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/5IIALrUTeag/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX2KGpZAWba5iEfj2Hyw3u6-YvJC7334Ze1Woh02HoICA2m5OfXtnc3GyGlkKAz9K7S7i2VKZRQ8PKnGTEkeg20V/bunge1.jpg?width=650)
KORAMU YATIMIA BUNGENI, MJADALA WA KATIBA MPYA WAENDELEA, WENGI WA KUNDI LA 2O1 WAREJEA MJENGONI
10 years ago
Michuzi19 Dec
11 years ago
IPPmedia19 May
TTU Assistant Secretary General, Ezekiel Oluoch
IPPmedia
IPPmedia
The Tanzania Teachers Union (TTU) has blamed the ministry of Education and Vocational Training for poor record keeping which has denied promotion to over 2,000 inspectors and trainers for 26 years now. According to TTU, at least 2,450 inspectors and ...
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta akutana na Viongozi wa Dini
Mhe. Mufti Sheikh Issa Shaaban Simba akimkaribisha Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta leo jijini Dar es Salaam wakati alipomtembelea kumuelezea maendeleo ya vikao vya Bunge linaloendelea mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Samuel Sitta (kulia) akiongea na waandishi wa habari mara baada ya ziara yake katika Ofisi za Bakwata kuelezea maendeleo ya cikao vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Bakwata Suleiman...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UmPseIHRR48/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
msikilize mwenyekiti wa PAC MHE ZITTO KABWE AKISOMA RIPOTI YA ESCROW BUNGENI SASA KUPITIA KWANZA JAMII RADIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
ama jiunge na aitv mobile uone live!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Honoratha Chitanda, Ezekiah Oluoch wabishana bungeni