Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Honoratha Chitanda, Ezekiah Oluoch wabishana bungeni

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimeunga mkono muundo wa Serikali moja uliopendekezwa na Shirikisho la Wafanyakazi nchini (TUCTA) kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MWENYEKITI SITTA ASEMA MJADALA UNAENDELEA WAKATI MHE EZEKIEL OLUOCH AREJEA BUNGENI AKITANGAZA HANA KUNDI

Wakati bunge Maalum la Katiba linaendelea na kikao leo,  baadhi ya wajumbe waliokuwa wanasemekana kuwa ni wanachama wa umoja wa kinachoitwa katiba ya wananchi (UKAWA) wamejitokeza  na baadhi yao kukanusha kuunga mkono umoja huo. Mmoja wao ni Mhe Ezekiel Oluoch ambaye  alikuwa anadaiwa  kuwa miongoni mwa WANA UKAWA aliingia Bungeni jana na kukana kuhusika na umoja huo  na kuongeza kuwa yeye hana kundi lolote ndani ya bunge, na kwamba ataendelea na kazi ya aliyoteuliwa kuifanya.  Mjumbe wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda, Werema wabishana utaratibu wa hotuba

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema wamepingana hadharani kuhusu anayepaswa kuwa wa kwanza kuhutubia Bunge kati ya  Rais Jakaya Kikwete au Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,  Jaji  Joseph Warioba.

 

10 years ago

Michuzi

Msama afafanua yanayojiri Kituo cha Honoratha


Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu taarifa za upotoshwaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusiana na Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Honoratha kilichopo Temeke jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu taarifa za upotoshwaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Oluoch: Hatutafuti majimbo

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiel Oluoch, amesema wanaandamwa na viongozi wakubwa wakidaiwa kuchangia mara nyingi bungeni ili baadaye wagombee majimboni. Oluoch ambaye ni mjumbe kutoka Chama Cha Walimu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Oluoch: Nilivyoliona Bunge la Katiba

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Ezekiel Oluoch, ni miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyetia fora kwa umahiri wake wa kujenga hoja. Huyu ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Oluoch aja na mpya Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Oluoch ametaka kuahirishwa kwa vikao vya chombo hicho na mabilioni ya fedha yatakayookolewa yaelekezwe katika malipo ya walimu ambao wanadai malimbikizo yao serikalini.

 

11 years ago

IPPmedia

TTU Assistant Secretary General, Ezekiel Oluoch


IPPmedia
TTU Assistant Secretary General, Ezekiel Oluoch
IPPmedia
The Tanzania Teachers Union (TTU) has blamed the ministry of Education and Vocational Training for poor record keeping which has denied promotion to over 2,000 inspectors and trainers for 26 years now. According to TTU, at least 2,450 inspectors and ...

 

11 years ago

Mwananchi

Oluoch: Bunge lianze na suala la muundo wa Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Olouch amewasilisha kwa Katibu wa Bunge, hoja ya kutaka, Bunge lianze kujadili hoja ya Muundo wa Muungano kabla ya mambo mengine ili kupata mwafaka.

 

9 years ago

TheCitizen

FRED OLUOCH : Opposition split jeopardises Juba deal

The political crisis in South Sudan looked set to continue as it emerged that the warring parties will not meet the August 17 deadline to sign peace agreement.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani