Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oluoch: Bunge lianze na suala la muundo wa Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Olouch amewasilisha kwa Katibu wa Bunge, hoja ya kutaka, Bunge lianze kujadili hoja ya Muundo wa Muungano kabla ya mambo mengine ili kupata mwafaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Muundo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na vikao vya kamati zake, sintofahamu juu ya nini hatima ya mawazo ya wananchi kama yalivyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba inaendelea kuibuka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba lianze kazi, porojo basi

KWA takriban wiki tatu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walikuwa kwenye msuguano mkali wa kuandaa kanuni zitakazowasaidia kufanya kazi ya kupitia rasimu ya Katiba. Msuguano huo umesababisha kanuni 2...

 

11 years ago

Mwananchi

Muundo wa Muungano waipasua CWT

Msimamo wa Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Honoratha Chitanda kuunga mkono serikali moja ndani ya Bunge Maalumu la Katiba huenda ukamgharimu.

 

11 years ago

Habarileo

Muundo Muungano kujulikana Ijumaa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMUUNDO wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza kujadiliwa rasmi kupitia Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba ambazo zinajadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu ya Katiba mpya.

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya maoni kuamua muundo wa muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amesema kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatima ya muundo wa muungano uliopo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Oluoch: Nilivyoliona Bunge la Katiba

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Ezekiel Oluoch, ni miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyetia fora kwa umahiri wake wa kujenga hoja. Huyu ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Oluoch aja na mpya Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Oluoch ametaka kuahirishwa kwa vikao vya chombo hicho na mabilioni ya fedha yatakayookolewa yaelekezwe katika malipo ya walimu ambao wanadai malimbikizo yao serikalini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamejifunza kwa Nyerere muundo wa Muungano peke yake?

IJUMAA iliyopita nilipata nafasi ya kusikiliza japo kwa muda mfupi kinachondelea huko Dodoma kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Alikuwa akizungumza mwanamama. Hapana, alikuwa akizungumza kwa kusoma. Alionekana haelewi barabara kile...

 

10 years ago

Mwananchi

Othman atoa waraka muundo wa Bunge

Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amelazimika kuandika waraka kuhusu mapendekezo ya kitaalamu na kuyawasilisha mbele ya Kamati Namba 11 baada ya kuibuka malumbano makali kuhusu aina ya muundo wa Bunge unaotakiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani