Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muundo Muungano kujulikana Ijumaa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMUUNDO wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza kujadiliwa rasmi kupitia Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba ambazo zinajadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu ya Katiba mpya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Muundo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano

Wakati Bunge Maalumu la Katiba likiendelea na vikao vya kamati zake, sintofahamu juu ya nini hatima ya mawazo ya wananchi kama yalivyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba inaendelea kuibuka.

 

11 years ago

Mwananchi

Muundo wa Muungano waipasua CWT

Msimamo wa Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Honoratha Chitanda kuunga mkono serikali moja ndani ya Bunge Maalumu la Katiba huenda ukamgharimu.

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya maoni kuamua muundo wa muungano

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amesema kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatima ya muundo wa muungano uliopo.

 

11 years ago

Mwananchi

Oluoch: Bunge lianze na suala la muundo wa Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Olouch amewasilisha kwa Katibu wa Bunge, hoja ya kutaka, Bunge lianze kujadili hoja ya Muundo wa Muungano kabla ya mambo mengine ili kupata mwafaka.

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUJULIKANA IJUMAA HII

KUFUATIA serikali kushindwa kufuatilia na kutatua kero na matatizo yanayowasibu madereva wa magari na pikipiki hapa nchini, Muungano wa Vyama cha Madereva nchini umepanga kugoma kuingia barabarani kutoa huduma ya usafirishaji nchi nzima ili kuishinikiza serikali kusikiliza na kutatua kero zinazowasumbua kwa miaka mingi sasa. Wakizungumza na vyombo vya habari kupitia Katibu wa Muungano wa Vyama vya Madereva, Bw. Rashid Saleh,...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mshindi wa milioni 60 za BSS 2015 kujulikana Ijumaa hii

Mashindano ya kusaka vipaji vya muziki nchini Tanzania kwa mara ya nane mfululizo, Bongo Star Search (BSS) yatafika tamati Ijumaa hii ambapo mshindi atajishindia shilingi milioni 60. Jaji Mkuu wa shindano hilo, Rita Paulsen Washiriki walioingia 6 bora na wanaohitaji kura za wananchi ili kushinda ni Frida Amani BSS 106, Kayumba Juma BSS 116, Anger […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamejifunza kwa Nyerere muundo wa Muungano peke yake?

IJUMAA iliyopita nilipata nafasi ya kusikiliza japo kwa muda mfupi kinachondelea huko Dodoma kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Alikuwa akizungumza mwanamama. Hapana, alikuwa akizungumza kwa kusoma. Alionekana haelewi barabara kile...

 

10 years ago

Michuzi

Redd's Miss Temeke kujulikana ijumaa ndani ya TCC Club,Chang'ombe, jijini Dar es Salaam.

 Warembo watakaoshiriki mashindano ya Redd's  Miss Temeke, wakiwa katika picha ya pamoja na Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Mohamed (TID), anayemiliki bendi ya  Top in Town,itakayotoa burudani katika mashindano hayo.Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Mohamed (TID), anayemiliki bendi ya  Top in Town, akielezea katika mkutano na waandishi wa habari, katika  klabu ya City Sports & Lounge jinsi alivyojiandaa kutoa burudani katika mashindano ya Redd's Miss Temeke yatakayofanyika...

 

11 years ago

GPL

KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO

NIMSHUKURU Mungu kwa kuweza kunipa uhai leo na kunifanya niweze kuyaandika haya niliyoyakusudia.
Mada kuu kila kona hivi sasa hapa nchini ni muundo gani wa serikali utafaa kufuatwa na nchi yetu.
Hakika kitu kinachosumbua vichwa vya wengi siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru muungano huu uliodumu kwa miaka 50. Wapo watu wanaotaka iwepo serikali moja japokuwa hili nina uhakika kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani