Picha: Mshindi wa milioni 60 za BSS 2015 kujulikana Ijumaa hii
Mashindano ya kusaka vipaji vya muziki nchini Tanzania kwa mara ya nane mfululizo, Bongo Star Search (BSS) yatafika tamati Ijumaa hii ambapo mshindi atajishindia shilingi milioni 60. Jaji Mkuu wa shindano hilo, Rita Paulsen Washiriki walioingia 6 bora na wanaohitaji kura za wananchi ili kushinda ni Frida Amani BSS 106, Kayumba Juma BSS 116, Anger […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSAKATA LA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUJULIKANA IJUMAA HII
9 years ago
Bongo510 Oct
Picha: Kayumba ashinda BSS 2015
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Kidoa aibuka mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015
Asha Salum ‘Kidoa’ (katikati) akiwasalimia mashabiki baada ya kutangazwa mshindi wa Ijumaa Sexiest Girl 2015 usiku huu Dar Live.
Akikabidhiwa Tuzo na Cheti chake na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani Kaima (kulia).
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)
![miss universe1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/miss-universe1-300x194.jpg)
Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.
Miss Universe 2015 Pia Alonzo
Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.
Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.
Miss...
9 years ago
Bongo507 Dec
Picha: Kala Jeremiah kumuonesha ‘Malkia’ wake Ijumaa hii
![Kala1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kala1-300x194.jpg)
Ni muda mrefu mashabiki wa Kala Jeremiah wamekuwa wakisubiri kwa hamu siku ambayo rapa huyo wa Rock City atamuweka hadharani ‘Malkia’ wake, baada ya kutoa ahadi ya kufanya hivyo kabla ya mwaka 2015 haujaisha.
‘Malkia’ ndio jina la wimbo mpya wa Kala ambao anatarajia kuuzindua pamoja na video yake Ijumaa hii (Dec.11) pale Club Billz akisindikizwa Na Roma, Izzo Bizness, Malaika na Dayna Nyange.
Hivi karibuni Kala aliiambia Bongo 5 kuwa video ya wimbo huo imeongozwa na director Pablo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqKVHgAKuS2WA86XQ6-6hEreVNezq-i-lM6u5RZ8VBwU1F*IC5BRpLau4oyKrRaIeTh2FUxpykpK0VN5SJHNswex/nisheeda.jpg?width=650)
HII NI SHIDA: IJUMAA LAIFUNGIA KAZI PICHA YA POLISI WALIONASWA WAKIFANYA UCHAFU
10 years ago
Bongo527 Nov
Picha: Ommy Dimpoz kuachia video ya ‘Tupogo Remix’ Ijumaa hii (Dec. 28)