Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Historia imeandikwa upya kwa Kayumba kijana wa miaka 19 kunyakua Milioni 50 za BSS 2015

DSC_3096

DSC_3070

More photos to come!

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Kayumba ashinda BSS 2015

Mwimbaji kutoka Temeke jijini Dar es Salaam, Kayumba Juma amejinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015 katika kilele cha shindano hilo kilichofanyika Ijumaa hii kwenye ukumbi wa King Solomon, Dar. Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba Juma akiomba dua baada ya kutangazwa kuwa […]

 

9 years ago

Mwananchi

Kayumba wa TMK alamba Sh60m za BSS

Kijana mwenye umri wa miaka 19, Kayumba Juma alilala masikini na kuamka tajiri usiku wa kuamkia Jumamosi baada ya kushinda kitita cha Sh60 milioni baada ya kuibuka mshindi wa shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS).

 

9 years ago

Bongo5

Kayumba wa BSS kuweka kambi Afrika Kusini

Kayumba akikabidhiwa zawadi kutoka kwa wadhamini wa shindano hilo.

Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Kayumba Juma anasafiri usiku wa Ijumaa hii kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya video ya wimbo wake mpya.

Kayumba Juma

Muimbaji huyo ambaye alijinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na ushindani mkubwa, atasafiri akiwa pamoja na timu ya BSS ikiongozwa na mkurugenzi wake Madam Rita.

Akizungumza na Bongo5 leo mmoja kati ya viongozi wa msanii huyo, Said Fella, amesema kila...

 

9 years ago

TheCitizen

Kayumba, the teen who defied odds to win BSS

He was only 11 when talent search show Bongo Star Search first hit TV screens across the country and to him to be on the show was something that seemed like a far-fetched thought.

 

9 years ago

Mwananchi

Kayumba Juma aibuka mshindi BSS, alamba Sh50m

Kayumba Juma wa jijini Dar es Salaam jana usiku aliibuka mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya muziki la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka 2015 baada ya kuwabwaga washiriki wengine watano waliofika hatua ya fainali, hivyo kutwaa kitita cha Sh50 milioni.

 

9 years ago

GPL

KAYUMBA JUMA AIBUKA MSHINDI BSS, ALAMBA MIL 50

Mshindi wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS), Kayumba Juma (katika), akiwa ameshikilia fedha zake muda mfupi baada ya kuibuka kidedea kwenye fainali hizo zilizokuwa zikifanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa King Solomoni uliopo Namanga jijini Dar es Salaa. Jaji Mkuu wa mashindano hayo, Madam Rita (wa pili kutoka kushoto), akimtangaza mshindi huyo. Washiriki waliongia kwenye 6 bora ya mashindano hayo wakiwa jukwaani...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mshindi wa milioni 60 za BSS 2015 kujulikana Ijumaa hii

Mashindano ya kusaka vipaji vya muziki nchini Tanzania kwa mara ya nane mfululizo, Bongo Star Search (BSS) yatafika tamati Ijumaa hii ambapo mshindi atajishindia shilingi milioni 60. Jaji Mkuu wa shindano hilo, Rita Paulsen Washiriki walioingia 6 bora na wanaohitaji kura za wananchi ili kushinda ni Frida Amani BSS 106, Kayumba Juma BSS 116, Anger […]

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !!

Baada ya Yamoto Band kumaliza ziara ya Show zao za Marekani wamerudi Bongo na kwa mara ya kwanza baada ya kurudi Tanzania, wameamua kuanza kwa kudondosha burudani ya nguvu katika uwanja wa taifa wa burudani Dar Live Mbagala, Yamoto Band walipiga Show usiku wa December 19 huku wakipewa sapoti na mshindi wa BSS Kayumba pamoja […]

The post Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA MILLIONI 50 MWANAAFA BAADA YA KUNYAKUA MILIONI 50 AUAMUA KUHAMIA DAR


Mwanaafa anasema kuwa kampuni ya Proin Promotions imemjengea mazingira mazuri ya kuishi kama nyota hivyo hata kama anapasi mtihani wake atahamia hapa kwani kazi ya kurekodi filamu ambayo ndio kazi anayoamini si rahisi kuifanya Mtwara, filamu ya TMT movie imeanza kurekodiwa na kinara ni Mwanaafa.Mshindi wa shindano la kusaka vipaji la lillojulikana kwa jina la Tanzania Movie Talent (TMT) Mwanaafa Mwinzago, msanii huyo ambaye kwa sasa anaishi jijini Dar es Salaam baada ya kujinyakulia milioni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani