Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kayumba, the teen who defied odds to win BSS

He was only 11 when talent search show Bongo Star Search first hit TV screens across the country and to him to be on the show was something that seemed like a far-fetched thought.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kayumba wa TMK alamba Sh60m za BSS

Kijana mwenye umri wa miaka 19, Kayumba Juma alilala masikini na kuamka tajiri usiku wa kuamkia Jumamosi baada ya kushinda kitita cha Sh60 milioni baada ya kuibuka mshindi wa shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search (BSS).

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Kayumba ashinda BSS 2015

Mwimbaji kutoka Temeke jijini Dar es Salaam, Kayumba Juma amejinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015 katika kilele cha shindano hilo kilichofanyika Ijumaa hii kwenye ukumbi wa King Solomon, Dar. Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba Juma akiomba dua baada ya kutangazwa kuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Kayumba wa BSS kuweka kambi Afrika Kusini

Kayumba akikabidhiwa zawadi kutoka kwa wadhamini wa shindano hilo.

Mshindi wa shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Kayumba Juma anasafiri usiku wa Ijumaa hii kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya video ya wimbo wake mpya.

Kayumba Juma

Muimbaji huyo ambaye alijinyakulia kitita cha shilingi milioni 60 baada ya kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro hicho kilichokuwa na ushindani mkubwa, atasafiri akiwa pamoja na timu ya BSS ikiongozwa na mkurugenzi wake Madam Rita.

Akizungumza na Bongo5 leo mmoja kati ya viongozi wa msanii huyo, Said Fella, amesema kila...

 

9 years ago

Mwananchi

Kayumba Juma aibuka mshindi BSS, alamba Sh50m

Kayumba Juma wa jijini Dar es Salaam jana usiku aliibuka mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya muziki la Bongo Star Search (BSS) kwa mwaka 2015 baada ya kuwabwaga washiriki wengine watano waliofika hatua ya fainali, hivyo kutwaa kitita cha Sh50 milioni.

 

9 years ago

GPL

KAYUMBA JUMA AIBUKA MSHINDI BSS, ALAMBA MIL 50

Mshindi wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS), Kayumba Juma (katika), akiwa ameshikilia fedha zake muda mfupi baada ya kuibuka kidedea kwenye fainali hizo zilizokuwa zikifanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa King Solomoni uliopo Namanga jijini Dar es Salaa. Jaji Mkuu wa mashindano hayo, Madam Rita (wa pili kutoka kushoto), akimtangaza mshindi huyo. Washiriki waliongia kwenye 6 bora ya mashindano hayo wakiwa jukwaani...

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !!

Baada ya Yamoto Band kumaliza ziara ya Show zao za Marekani wamerudi Bongo na kwa mara ya kwanza baada ya kurudi Tanzania, wameamua kuanza kwa kudondosha burudani ya nguvu katika uwanja wa taifa wa burudani Dar Live Mbagala, Yamoto Band walipiga Show usiku wa December 19 huku wakipewa sapoti na mshindi wa BSS Kayumba pamoja […]

The post Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Go, girls. Go--you can beat the odds and win

>There must be a jinx that holds back the national women’s soccer team, Twiga Stars, when it comes to the finals of high-profile competitions. In 2010, they failed to make their presence felt at the Africa Women’s Football Championship finals in South Africa. They lost all three matches in Group A.

 

10 years ago

TheCitizen

Is dollarisation monster that has defied BoT?

The Budget preparations season in Tanzania for the 2015/16 financial year is over. Or is it...? Indeed, the end of one Budget preparation processes signals the beginning of preparations for the next Budget — and so on; and so forth!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani