Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA MILLIONI 50 MWANAAFA BAADA YA KUNYAKUA MILIONI 50 AUAMUA KUHAMIA DAR


Mwanaafa anasema kuwa kampuni ya Proin Promotions imemjengea mazingira mazuri ya kuishi kama nyota hivyo hata kama anapasi mtihani wake atahamia hapa kwani kazi ya kurekodi filamu ambayo ndio kazi anayoamini si rahisi kuifanya Mtwara, filamu ya TMT movie imeanza kurekodiwa na kinara ni Mwanaafa.Mshindi wa shindano la kusaka vipaji la lillojulikana kwa jina la Tanzania Movie Talent (TMT) Mwanaafa Mwinzago, msanii huyo ambaye kwa sasa anaishi jijini Dar es Salaam baada ya kujinyakulia milioni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWANAAFA NDIYE MSHINDI WA MILIONI 50 ZA TMT

Mshindi wa milioni 50 za TMT, Mwanaafa Mwinzago. Mshiriki kutoka Kanda ya Kusini, Mwanaafa Mwinzago amefanikiwa kuibuka kidedea na kutwaa shilingi milioni 50 za shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).…

 

10 years ago

GPL

KINARA WA TMT, MWANAAFA MWINZAGO ALIVYOONDOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 50



Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza akitoa neno kwa wadau waliojitokeza kushuhudia fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililokuwa pia likirushwa live kupitia Kituo Cha Runinga cha ITV

Mwanaafa Mwinzago (katikati) akishangilia Mara baada ya kutangazwa Mshindi wa Kitita Cha Milioni 50 za Kitanzania katika Fainali ya Kumsaka Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2014...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanaafa Mwinzago aibuka Kinara wa shindano la TMT 2014 na kuondoka na kitita cha shilingi Milioni 50 za Kitanzania

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza akitoa neno kwa wadau waliojitokeza kushuhudia fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililokuwa pia likirushwa live kupitia Kituo Cha Runinga cha ITV.

Mwanaafa Mwinzago (katikati) akishangilia Mara baada ya kutangazwa Mshindi wa Kitita Cha Milioni 50 za Kitanzania katika Fainali ya Kumsaka Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City na...

 

10 years ago

Michuzi

MWANAAFA MWINZAGO AIBUKA KINARA WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) 2014 NA KUONDOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 50 ZA KITANZANIA

Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza akitoa neno kwa wadau waliojitokeza kushuhudia fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililokuwa pia likirushwa live kupitia Kituo Cha Runinga cha ITVMwanaafa Mwinzago (katikati) akishangilia Mara baada ya kutangazwa Mshindi wa Kitita Cha Milioni 50 za Kitanzania katika Fainali ya Kumsaka Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City na Kuhudhuriwa na...

 

5 years ago

CCM Blog

VIONGOZI WATANO WATAMBULISHWA BAADA YA KUHAMIA CCM

Viongozi waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wametambulishwa  leo na kupokelewa rasmi kuwa wana CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama hicho Rais John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika Ofisi Ndogo ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam.
Kutoka kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro,  aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David...

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce na Jay Z kuhamia L.A kutoka New York, wamwandikisha Blue Ivy kwenye shule ya milioni 25 kwa mwaka

Beyonce na Jay Z wanahamia jijini Los Angeles baada ya kuishi jijini New York kwa miaka mingi, mtandao wa TMZ umedai. Umesema Beyonce na Jay Z kwa sasa wanaishi kwenye hoteli huko Beverly Hills na wanatafuta nyumba ya kununua. Mtandao huo pia umedai kuwa mastaa hao wamemwandikisha mtoto wao Blue Ivy mwenye miaka mitatu kwenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Fella aeleza kwanini amemshauri Berry Black kuhamia Dar

f_13

Meneja wa Mkubwa na Wanae, TMK Wanaume Family pamoja na Yamoto Band, Mkubwa Fella amesema amemshawishi msanii wake mpya Berry Black kutoka Zanzibar na kuhamia Dar es salaam ili kuwa karibu na vyombo vya bahari.
f_13

Mkubwa Fella, ameiambia Bongo5 kuwa uwamuzi wa Berry Black kuishi Dar, kutamsaidia msanii huyo kusambaza kazi zake vizuri kwa kuwa yupo karibu na vituo vya habari.

“Muziki ni popote lakini tatizo ni usambazaji, ndo maana tukaamua ahamie hapa Dar ili tuweze kusambaza kazi zake hata...

 

9 years ago

Bongo5

Producer Tiddy Hotter wa One Love Fx ya Mwanza atangaza kuhamia Dar na kufungua studio nyingine

tiddy hotter

Producer aliyetengeneza singles kama ‘Listen’ ya Belle 9, ‘Mwambie Mwenzio’ ya stamina, ‘Nisome’ ya Godzila na G-nako na nyingine kadhaa, Tiddy Hotter ametangaza kuhamisha makazi yake jijini Dar es salaam kutoka jijini mwanza.

tiddy hotter

Tiddy ambaye anamiliki studio ya One Love FX ya Mwanza amesema kuwa pia anafungua studio nyingine Dar, na ile ya mwanza itaendelea kuwepo.

Producer huyo ameitaja sababu kubwa ya kurudi Dar ambako alianzia kabla ya kwenda kufungua studio Mwanza, “Nimeona nisogee...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani