VIONGOZI WATANO WATAMBULISHWA BAADA YA KUHAMIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-F-PG_4z16nc/XlkTjCp1FFI/AAAAAAACzpg/V2KUNvKBx30eI-sIzfnlPsIH8k_VaSf0wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Viongozi waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wametambulishwa leo na kupokelewa rasmi kuwa wana CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama hicho Rais John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika Ofisi Ndogo ya CCM mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam.
Kutoka kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro, aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XPD2mfj8OjE/XkahzcpGoTI/AAAAAAALdXk/3Fuz-BdFl0gUzcEP_BZ5CjsTo-bqtGfXQCLcBGAsYHQ/s72-c/5b8f0741-9dcd-405e-aecd-b49c2d7f35ae.jpg)
CHADEMA YATIKISIKA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM
Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara CHADEMA, Mashaka Mbilinyi, Diwani kata ya Mbasa ,Chiza Shungu, Mwenyekiti wa kamati huduma za Jamii Ifakara, Digna Nyangile, Diwani Viti Maaalum Ifakara, Antony Mwampunga Kamanda wa Red Briged wilaya Kilombero, Clarens Manyota na Baraka Masala.
Wanachama hao wapya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XPD2mfj8OjE/XkahzcpGoTI/AAAAAAALdXk/3Fuz-BdFl0gUzcEP_BZ5CjsTo-bqtGfXQCLcBGAsYHQ/s72-c/5b8f0741-9dcd-405e-aecd-b49c2d7f35ae.jpg)
CHADEMA YAPATA MAAFA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-XPD2mfj8OjE/XkahzcpGoTI/AAAAAAALdXk/3Fuz-BdFl0gUzcEP_BZ5CjsTo-bqtGfXQCLcBGAsYHQ/s640/5b8f0741-9dcd-405e-aecd-b49c2d7f35ae.jpg)
Morogoro TanzaniaVIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilaya ya Kilombero wamejivua uanachama wa Chadema hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.
Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qDQza6KfkbM/VDJMv0fwhqI/AAAAAAAAKp8/3MIk-T1dOAk/s72-c/Mwanaafa-Mwinzango-531.jpg)
MTOTO WA MILLIONI 50 MWANAAFA BAADA YA KUNYAKUA MILIONI 50 AUAMUA KUHAMIA DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-qDQza6KfkbM/VDJMv0fwhqI/AAAAAAAAKp8/3MIk-T1dOAk/s1600/Mwanaafa-Mwinzango-531.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-38WJkIuEsQY/VDJMo7knH2I/AAAAAAAAKp0/NVGSuheydtM/s640/Mwanaafa-akiwa-Matroni-Aneth-Janeth-na-Tishi-wakiwa-katika-picha-531.jpg)
5 years ago
CCM BlogWANAFUZI WATANO WAFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA GARI
“Chanzo cha ajali iliyoua wanafunzi watano ni mwendo kasi wa Dereva wa Land Cruiser, hakujali mvua na utelezi, Gari likamshinda na kuwagonga Watoto pembezoni mwa Barabara wakadondokea mtaroni, watatu...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Mabadiliko sasa kuhamia CCM, bungeni
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Panga la urais CCM kuhamia kwa wabunge