CHADEMA YAPATA MAAFA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-XPD2mfj8OjE/XkahzcpGoTI/AAAAAAALdXk/3Fuz-BdFl0gUzcEP_BZ5CjsTo-bqtGfXQCLcBGAsYHQ/s72-c/5b8f0741-9dcd-405e-aecd-b49c2d7f35ae.jpg)
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Bushiru Ali akimpa mkono Mbunge wa viti Maalum wa wilaya ya kilombero Dkt.Getrude Lwakatare wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi mbalimbali ya Chama hicho mkoani Morogoro wengine ni viongozi wa Mkoa wa Chama hicho.
Morogoro TanzaniaVIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wilaya ya Kilombero wamejivua uanachama wa Chadema hicho na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM.
Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XPD2mfj8OjE/XkahzcpGoTI/AAAAAAALdXk/3Fuz-BdFl0gUzcEP_BZ5CjsTo-bqtGfXQCLcBGAsYHQ/s72-c/5b8f0741-9dcd-405e-aecd-b49c2d7f35ae.jpg)
CHADEMA YATIKISIKA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM
Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara CHADEMA, Mashaka Mbilinyi, Diwani kata ya Mbasa ,Chiza Shungu, Mwenyekiti wa kamati huduma za Jamii Ifakara, Digna Nyangile, Diwani Viti Maaalum Ifakara, Antony Mwampunga Kamanda wa Red Briged wilaya Kilombero, Clarens Manyota na Baraka Masala.
Wanachama hao wapya...
5 years ago
CCM BlogCHAMA CHA ACT-WAZALENDO CHAPATA MAAFA KIGOMA, MADIWANI WAKE WATANO WANG'OKA NA KUHAMIA CCM, LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-F-PG_4z16nc/XlkTjCp1FFI/AAAAAAACzpg/V2KUNvKBx30eI-sIzfnlPsIH8k_VaSf0wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VIONGOZI WATANO WATAMBULISHWA BAADA YA KUHAMIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-F-PG_4z16nc/XlkTjCp1FFI/AAAAAAACzpg/V2KUNvKBx30eI-sIzfnlPsIH8k_VaSf0wCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Kutoka kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro, aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
CHADEMA Temeke yapata viongozi wapya
BERNAD Mwakyembe amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Temeke, baada ya kumshinda mwenyekiti wa zamani Yona Patrick, katika uchaguzi wa kikatiba uliofanyika jijini...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
CHADEMA Kigoma yapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Kigoma kimepata viongozi wapya ngazi ya Mkoa na Wilaya katika uchaguzi uliyofanyika jana. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
CHADEMA Ukonga yapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam kimepata viongozi wapya baada ya uchaguzi uliyofanyika hivi karibuni. Viongozi wapya waliyochaguliwa ni pamoja na Thomas Nyahende...
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Chadema yapata viongozi wapya Kigoma
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoani Kigoma, kimepata uongozi mpya wa chama hicho kufuatia uongozi uliokuwepo awali kujiuzulu na kuhamia chama cha Allience For Change and Transparency (ACT – Tanzania).
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila, ambaye alikuwa msimamizi wa zoezi la kupatikana kwa viongozi hao...
10 years ago
Mwananchi23 Jul
Lembeli: Mwanahabari aliyeitosa CCM na kuhamia Chadema