Muundo wa Muungano waipasua CWT
Msimamo wa Makamu wa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Honoratha Chitanda kuunga mkono serikali moja ndani ya Bunge Maalumu la Katiba huenda ukamgharimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Muundo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
11 years ago
Habarileo01 Apr
Muundo Muungano kujulikana Ijumaa
MUUNDO wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeanza kujadiliwa rasmi kupitia Kamati 12 za Bunge Maalumu la Katiba ambazo zinajadili Sura ya Kwanza na ya Sita za rasimu ya Katiba mpya.
11 years ago
Habarileo28 Mar
Kura ya maoni kuamua muundo wa muungano
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad amesema kura ya maoni ndiyo itakayoamua hatima ya muundo wa muungano uliopo.
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Oluoch: Bunge lianze na suala la muundo wa Muungano
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
CCM wamejifunza kwa Nyerere muundo wa Muungano peke yake?
IJUMAA iliyopita nilipata nafasi ya kusikiliza japo kwa muda mfupi kinachondelea huko Dodoma kwenye Bunge Maalumu la Katiba. Alikuwa akizungumza mwanamama. Hapana, alikuwa akizungumza kwa kusoma. Alionekana haelewi barabara kile...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eDyIvHOwXlynEeW7X75t0XekxXRb5TW0947Dp5W1FvqEwUhIOWLphpiGUGd*90yg*vdiV5YnV7VxLgyKUigi9*/juliasi.jpg?width=650)
KINACHOSUMBUA SI MUUNDO WA SERIKALI BALI AINA GANI YA MUUNDO
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-HBnh2_9Xexc/VAgrLcxzdGI/AAAAAAAABnk/9rsycSvZg-g/s72-c/Freeman%2BMbowe.jpg)
Uenyekiti waipasua CHADEMA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza majina ya makada wake wanaowania nafasi za uongozi ngazi ya taifa huku majina ya vigogo na wabunge yakisheheni.
Tayari uchaguzi huo umezidi kukiweka njiapanda chama hicho kutokana na makada wengi kuenguliwa kwenye ngazi za majimbo na mikoa, ikiwa ni mkakati wa kuwatosa wanachama wapenda...
10 years ago
Mtanzania06 Oct
Ubunge waipasua CCM Kilombero
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
Na Mwandishi Wetu, Ifakara
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilombero kimeingia katika malumbano baada ya baadhi ya makada wake kudaiwa kuanza kampeni za kuwania ubunge mwaka 2015 kabla ya wakati.
Hatua hiyo inaelezwa ni moja ya mikakati inayofanywa na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya ambao wamekuwa wakiwabeba watu wanaotangaza nia ya kulitaka jimbo hilo na kuambatana nao katika mikutano kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu.
Kutokana na kile...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Mawaziri mizigo waipasua CCM
HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni ambapo sasa makundi mbalimbali yameanza kuibuka na kushambuliana kwa maneno...