Mawaziri mizigo waipasua CCM
HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufuatia uteuzi wa mawaziri uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni ambapo sasa makundi mbalimbali yameanza kuibuka na kushambuliana kwa maneno...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Onyo la CCM kwa mawaziri 'mizigo'
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Wabunge wa CCM wawakalia kooni mawaziri mizigo
11 years ago
Mwananchi23 Jan
CCM leo kutoa ufafanuzi kuhusu mawaziri mizigo
10 years ago
Mtanzania06 Oct
Ubunge waipasua CCM Kilombero
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
Na Mwandishi Wetu, Ifakara
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilombero kimeingia katika malumbano baada ya baadhi ya makada wake kudaiwa kuanza kampeni za kuwania ubunge mwaka 2015 kabla ya wakati.
Hatua hiyo inaelezwa ni moja ya mikakati inayofanywa na baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya ambao wamekuwa wakiwabeba watu wanaotangaza nia ya kulitaka jimbo hilo na kuambatana nao katika mikutano kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu.
Kutokana na kile...
11 years ago
Habarileo20 Jan
Kilichowabakiza ‘mawaziri mizigo’
SERIKALI imetoa kauli kuhusu tuhuma zilizokuwa zikiwakabili baadhi ya mawaziri, waliobatizwa jina la ‘Mawaziri Mizigo’, na hatua ambazo zimekuwa zikichukuliwa kukabiliana na kero zilizosababisha wapewe jina hilo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0n7Hrjai02swGIDz*Fk6WdsDDd9a1GXYZsD1YLavc3d1oFhkym9UJhFYmcJjYLUQ9IiMPO7-tReXJLtgUaG1e-5/kinana.jpg?width=650)
MAWAZIRI MIZIGO ISICHUKULIWE KISIASA
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Mawaziri ‘mizigo’ wapata mtetezi
KAMATI Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imepingwa kwa hatua yake ya kuwaainisha mawaziri wanaoonekana kuwa mizigo ndani ya Baraza la Mawaziri, huku Katibu wa Uenezi na Itikadi Nape Nnauye...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Walia Rais kuwaacha mawaziri ‘mizigo’
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Slaa: Aliyeteua mawaziri mizigo awajibishwe