Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oluoch: Hatutafuti majimbo

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiel Oluoch, amesema wanaandamwa na viongozi wakubwa wakidaiwa kuchangia mara nyingi bungeni ili baadaye wagombee majimboni. Oluoch ambaye ni mjumbe kutoka Chama Cha Walimu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

HOJA HUNENWA: Hatutafuti rais mtakatifu

Tanzania inaingia kwenye Uchaguzi Mkuu wa nne chini ya mfumo wa  vyama vingi. Wagombea kutoka vyama mbalimbali wameshachukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi, ikiwamo urais.

 

9 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa

123

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.

Tathmini ya Upigaji Kura

Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...

 

9 years ago

Habarileo

CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Oluoch: Nilivyoliona Bunge la Katiba

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Ezekiel Oluoch, ni miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyetia fora kwa umahiri wake wa kujenga hoja. Huyu ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Oluoch aja na mpya Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Oluoch ametaka kuahirishwa kwa vikao vya chombo hicho na mabilioni ya fedha yatakayookolewa yaelekezwe katika malipo ya walimu ambao wanadai malimbikizo yao serikalini.

 

11 years ago

Mwananchi

Honoratha Chitanda, Ezekiah Oluoch wabishana bungeni

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimeunga mkono muundo wa Serikali moja uliopendekezwa na Shirikisho la Wafanyakazi nchini (TUCTA) kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Oluoch: Bunge lianze na suala la muundo wa Muungano

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ezekiah Olouch amewasilisha kwa Katibu wa Bunge, hoja ya kutaka, Bunge lianze kujadili hoja ya Muundo wa Muungano kabla ya mambo mengine ili kupata mwafaka.

 

11 years ago

IPPmedia

TTU Assistant Secretary General, Ezekiel Oluoch


IPPmedia
TTU Assistant Secretary General, Ezekiel Oluoch
IPPmedia
The Tanzania Teachers Union (TTU) has blamed the ministry of Education and Vocational Training for poor record keeping which has denied promotion to over 2,000 inspectors and trainers for 26 years now. According to TTU, at least 2,450 inspectors and ...

 

10 years ago

Habarileo

Oluoch ataka Tume ya Utumishi wa Walimu katiba mpya

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch ameshawishi wajumbe wenzake kuhakikisha Tume ya Utumishi wa Walimu, inaundwa na inatambuliwa na Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani