KORAMU YATIMIA BUNGENI, MJADALA WA KATIBA MPYA WAENDELEA, WENGI WA KUNDI LA 2O1 WAREJEA MJENGONI

Wakati bunge Maalum la Katiba linaendelea na kikao leo, baadhi ya wajumbe waliokuwa wanasemekana kuwa ni wanachama wa umoja wa kinachoitwa katiba ya wananchi (UKAWA) wamejitokeza na baadhi yao kukanusha kuunga mkono umoja huo. Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mhe.  Ezekiel Oluoch akiingia jana kwenye  kikao cha Bunge Maalum la Katiba  mjini Dodoma. Mhe. Uluoch, ambaye pia ni naibu katibu mkuu wa Chama cha Walimu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
MWENYEKITI SITTA ASEMA MJADALA UNAENDELEA WAKATI MHE EZEKIEL OLUOCH AREJEA BUNGENI AKITANGAZA HANA KUNDI
.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
MJADALA WA KATIBA MPYA: Asasi za kiraia kuelimisha jamii kwa kugawa CD, flash za Katiba
BAADA ya Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar na hatimaye Tanzania iliyotokana na muungano wa nchi hizo mwaka 1964, wananchi hawakuwahi kupewa fursa ya kushiriki katika utungaji wa Katiba ya nchi....
11 years ago
Habarileo04 Apr
Watetea mjadala wa Katiba mpya nje ya Bunge
MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba mpya nje ya bunge umetajwa kuwa ni muhimu na unasaidia wajumbe wa Bunge Maalumu kujadili kwa upana na kuweka hoja vizuri au kuzibadilisha.
11 years ago
Mwananchi10 Oct
Wengi waigunia Katiba Mpya
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Siioni Katiba mpya, nasubiri ngumi bungeni
NIMESOMA majina 201 yaliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuunda Bunge Maalumu ya Katiba, nimebaini uwepo wa safari ndefu kufikia kile wengi wetu tulichokuwa tukitarajia. Bunge Maalumu la Katiba ndilo litakalopitia...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mjadala waendelea mkutano wa Parir
11 years ago
MichuziRASIMU YA KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA KUWASILISHWA BUNGENI SEPTEMBA 24 MWAKA HUU
RASIMU ya Katiba Mpya iliyopendekezwa inatarajiwa kuwasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba Septemba 24, mwaka huu.
Mabadiliko hayo yametangazwa leo jioni na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Aidha Katibu huyo amesema uamuzi wa mabadiliko hayo, umetokana na kufanyika kikao baina ya Kamati ya Uongozi wa Bunge hilo na Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi.
Hata hivyo Katibu...
11 years ago
Dewji Blog04 Sep
Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo
Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.
Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...
11 years ago
MichuziMkutano wa kundi namba 1 la nchi za Afrika- Benki ya Dunia waendelea leo
Katika mikutano hii wanazungumzia zaidi masuala ya sera za kibenki na mambo ya utawala kama vile ajira , uchaguzi wa wenyeviti wa mikutano hiyo na kamati mbalimbali. Mkutano huo...