Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta akoroga mambo bungeni

LICHA ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuruhusu uvunjwaji wa kanuni ili kuruhusu wenyeviti wa Kamati za Bunge kufafanua baadhi ya mambo wakati wa uwasilishaji wa taarifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sitta: Nataka nidhamu bungeni

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta ‘amkataa’ Warioba bungeni

Jaribio la kutaka kumrejesha bungeni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ili ajibu masuala yaliyoibuliwa na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba yake ya kufungua Bunge limegonga mwamba.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta amshambulia Kubenea bungeni

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amemshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Sitta aweka mambo sawa

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amefafanua kuwa hatua ya kupokea makundi mbalimbali kwenye Bunge Maalumu la Katiba haina lengo la kuja na hoja mpya na kuziwasilisha bungeni.

 

11 years ago

Michuzi

Waziri Sitta kuwasilisha Bajeti kesho Bungeni

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Samuel Sitta anatarajia kuwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara  kwa mwaka wa Fedha 2014/2015 kesho tarehe 22 Mei, 2014, ambapo atazungumzia utekelezaji wa majukumu ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 na makadirio ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2014/2015.

Hotuba hiyo itapatikana kwenye tovuti ya Wizara www.meac.go.tz na kwenye vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya Mhe. Waziri kumaliza kuisoma Bungeni.

Tunawakaribisha wadau...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta: Mambo matano kwa Taifa

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM, akieleza kuwa anataka kulifanyia Taifa mambo matano, ikiwa ni pamoja na kutenganisha biashara na siasa na kusimamia maadili ya viongozi wa umma.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni

>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza mkakati mpya wa kunusuru mchakato wa Katiba Mpya kwa kuitisha kikao cha wajumbe 27 wa Kamati ya Mashauriano ili kuondoa mpasuko kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wajumbe wengine.

 

11 years ago

CloudsFM

Sitta ateua masheikh, maaskofu kuwarejesha Ukawa bungeni

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza mkakati mpya wa kunusuru mchakato wa Katiba Mpya kwa kuitisha kikao cha wajumbe 27 wa Kamati ya Mashauriano ili kuondoa mpasuko kati ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wajumbe wengine.

Katika wajumbe hao wamo maaskofu wawili na masheikh wawili ambao Sitta amewateua kutoka katika Bunge la Katiba.

Sitta ameitisha kikao hicho jijini Dar es Salaam Julai 24 wakati kukiwa na matamko tofauti kuhusu mustakabali wa katiba...

 

11 years ago

Mwananchi

Msuya amtaka JK apuuze mambo madogo bungeni

Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya amemshauri Rais Jakaya Kikwete kupuuza matatizo madogomadogo yanayojitokeza katika Bunge Maalumu la Katiba badala yake asimamie uamuzi ya Bunge hilo ili kupata Katiba ambayo itaongoza nchi kwa amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani