Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wametakiwa kuwa na nidhamu na kuheshimu muda uliowekwa, kwa ajili ya vikao vya Bunge hilo badala ya kuendeleza malumbano yasiyokuwa na tija kwa Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURRSF-89XjE1TMag*Tkde8n71UoDL0CZEGlh0tN5QSWo4PBRvmh0HWFT8QZcZk22QXuOyDMrOT-G-t2jMb5KyxNT/1.jpg)
BASATA, TCRA WAWATAKA WASANII KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO
11 years ago
Michuzi05 Aug
Mtanzao wa Wanafunzi Nchini wawataka Wajumbe wa Bunge la Katiba kufikia Muafaka
Mkurugenzi mtendaji wa mtandao wa wanafunzi Bwana Alphonce Lusako ametoa tamko hilo katika mkutano ulioudhuriwa na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Lusako ametoa ombi kwa vyama vyote vya siasa kurudi bungeni na kufanya maridhiano ili tuweze kupata katiba mpya ambayo itasaidia kuokoa mabilioni ya fedha za watanzania ambazo zimekwisha tumika katika mchakato wa kutafuta...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sehoxXN0Xrg/U_DMdycnCCI/AAAAAAAGAS0/TabylNjI1wM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Wazee wa Dar es salaam wawataka UKAWA kurudi Bungeni. Na
11 years ago
Mwananchi02 Jul
IBADA MAALUM: Maaskofu wawataka Ukawa kurejea bungeni
9 years ago
StarTV15 Nov
Ligi daraja la pili Wachezaji watakiwa kuzingatia nidhamu, shria na kanuni.
Wakati kipenga cha michuano ya ligi soka daraja la pili kikipangwa kuanza Jumapili hii katika viwanja mbalimbali nchini wachezaji wametakiwa kuzingatia nidhamu, sheria kanuni na taratibu zinazoongoza mpira wa miguu
Michuano hiyo inazishirikisha timu 24 na timu ya Alliance Sports Academy imepangwa kundi B pamoja na Bulyanhulu ya Shinyanga JKT Rwamkoma ya Mara AFC na Madini Fc zote za Arusha na Pamba Fc ya mwanza
Star Tv imefika katika viwanja vya timu ya Alliance Sports Academy ili...
9 years ago
StarTV22 Oct
 Wanasheria wawataka wananchi kufahamu haki zao
Wanasheria jijini Arusha wamewataka wananchi kufahamu haki zao za msingi ili waweze kutafuta marekebisho pale haki zao zinapovunjwa.
Hayo yamebainika katika maadhimisho ya siku ya haki za binadamu barani Afrika inayofanyika Oktoba 21 kila mwaka.
Wanasheria hao wamesema Idadi kubwa ya raia wanashindwa kupata haki zao kwa kuwa wengi wao hawafahamu hatua za kufuata pindi ukiukwaji wa haki za binadamu unapotokea.
Wakizungumza katika viunga vya mahakama kuu ya Afrika mawakili,...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Sitta: Nataka nidhamu bungeni
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.
10 years ago
Habarileo25 Sep
Sitta ataka wajumbe kuzingatia ratiba
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuzingatia ratiba waliyopewa, ili wamalize kazi iliyo mbele yao kwa muda mwafaka.