Ligi daraja la pili Wachezaji watakiwa kuzingatia nidhamu, shria na kanuni.
Wakati kipenga cha michuano ya ligi soka daraja la pili kikipangwa kuanza Jumapili hii katika viwanja mbalimbali nchini wachezaji wametakiwa kuzingatia nidhamu, sheria kanuni na taratibu zinazoongoza mpira wa miguu
Michuano hiyo inazishirikisha timu 24 na timu ya Alliance Sports Academy imepangwa kundi B pamoja na Bulyanhulu ya Shinyanga JKT Rwamkoma ya Mara AFC na Madini Fc zote za Arusha na Pamba Fc ya mwanza
Star Tv imefika katika viwanja vya timu ya Alliance Sports Academy ili...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s72-c/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
Kagurumjuli awataka BVR Kits Operators, wandishi waSaidizi kuzingatia kanuni na taratibu katika uboreshaji awamu ya pili daftari la mpigakura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-axw1HP5NbYQ/XqwAQKhcHQI/AAAAAAALowQ/fU3N-qhdLA0I4BQCfpMXfbtN4spouQfnACLcBGAsYHQ/s640/a5c323a6-d09a-449b-91b7-86477f6b933f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MnknabWLYzg/XqwARkq4BVI/AAAAAAALowU/5rCse9uaY-0uIxzHY-ELOlKSaNPM9Zv4gCLcBGAsYHQ/s640/d6b363db-571b-4a89-ac0d-14fa7e841ce2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-cKengaOQx5s/XqwAQOqUTrI/AAAAAAALowI/6f6LMh5U8d81rr0gZqOSu3wKjGpr2p1wACLcBGAsYHQ/s640/85def334-f6d5-408b-857c-e6c1727e64c5.jpg)
Watumishi wa BVR Oparetas Kts na waandishi wa saidizi wakiwa kwenye mafunzo ya namna ya kutumia mashine hizo pindi watakapokuwa kwenye majukumu ya kuwahudumia wananchi watakaofika kuhakiki taarifa zao ili waweze kupata kitambulisho cha mpiga kura.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ilnMkyxbX8k/XqwAQI1jLVI/AAAAAAALowM/1ehw_uo0Hb0o6-qMLi5vEGWGrTv7QcFrQCLcBGAsYHQ/s640/c9ef0a25-435c-4ec7-b97e-4740133b31b7.jpg)
Afisa mwandikishaji ambaye ndio Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Bwana Aron Kagurumjuli akizungumza na watumishi hawapo pichani waliokuwa kwenye mafunzo ya uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura katika shule ya msingo...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mbao FC yakamata usukani Ligi Daraja la Pili
9 years ago
Habarileo14 Dec
Madini yazidi kutesa ligi daraja la pili Arusha
TIMU ya soka ya Madini ya Arusha juzi iliendelea kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani wa Mwalimu Nyerere uliopo wilayani Mbulu mkoani Manyara baada ya kuifunga Pamba ya Mwanza magoli 2-0 katika mchezo mkali wa ligi daraja la pili ngazi ya taifa.
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Wawili wafutiwa usajili wao Ligi Daraja la Pili
9 years ago
StarTV17 Nov
Ligi daraja la pili Alliance Sports yaanza vema nyumbani CCM Kirumba.
Hekaheka za kuwania nafasi ya kufuzu kuingia ligi daraja la kwanza Tanzania Bara zimeanza katika uwanja wa michezo wa CCM Kirumba kwa timu ya soka ya Alliance Sports Academy ya Mwanza kumenyana na Madini Fc kutoka mkoani Arusha kwa kundi B
Mchezo huo uliokuwa wa ushindani mkubwa umemalizika kwa Timu ya Alliance kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi mpinzani wake Madini FC ya Arusha.
Mchezo huo uliokuwa na ushangiliaji wa aina yake kwa mashabiki wa timu ya Alliance Sports Academy ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)
10 years ago
MichuziMWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB KWA KUICHANGIA MILIONI MOJA ILI ISHIRIKI LIGI DARAJA LA PILI NGAZI YA KANDA
Na Faustine Ruta,Bukoba
Katika kutengeneza ajira kwa vijana na kuuendeleza mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kutoka sehemu mbalimbali na ndani ya mkoa, Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Nassor Mnabila aliamua kuanzisha timu ya mpira ya mkoa wa Kagera.
Madhumuni ya kuanzisha timu hiyo ni kuuleta mkoa wa Kagera pamoja, kutoa ajira kwa vijana wenye vipaji vya michezo aidha kuutangaza mkoa nje na ndani ya nchi kuhusu fursa za uwekezaji zinazopatikana ndani ya mkoa wetu wa Kagera.
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES MWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB KWA KUICHANGIA MILIONI MOJA ILI ISHIRIKI LIGI DARAJA LA PILI NGAZI YA KANDA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10