Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


 Wanasheria wawataka wananchi kufahamu haki zao

Wanasheria  jijini Arusha wamewataka  wananchi kufahamu haki zao za msingi ili waweze  kutafuta marekebisho  pale haki zao zinapovunjwa.

Hayo yamebainika katika maadhimisho ya siku ya haki za binadamu barani  Afrika inayofanyika Oktoba  21 kila mwaka.

Wanasheria hao wamesema Idadi kubwa ya raia wanashindwa kupata haki zao  kwa kuwa wengi wao hawafahamu  hatua za kufuata pindi ukiukwaji wa haki za binadamu  unapotokea.

Wakizungumza katika viunga vya mahakama kuu ya Afrika  mawakili,...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao

WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amesema Corona haikuanzia Afrika hivyo haipaswi kuwa chanzo cha kutoelewana kati ya nchi za Kenya na Tanzania, na kwamba nchi zote zinahitaji biashara.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wametakiwa kuwa na nidhamu na kuheshimu muda uliowekwa, kwa ajili ya vikao vya Bunge hilo badala ya kuendeleza malumbano yasiyokuwa na tija kwa Taifa.

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu



Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria hawajui haki zao safarini

HIVI karibuni kumeripotiwa ajali nyingi za barabarani zikiwemo zile zilizotokea mkoani Singida na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha. Nilipata msukumo wa kutaka kufahamu ni kwanini matukio ya ajali, hasa za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake watakiwa kutambua haki zao

WAWANAKE mkoani Iringa wametakiwa kuzitambua haki zao sambamba na sheria za utawala bora ndani ya jamii katika kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi wasipoandamana hawapewi haki zao?

Sasa ni dhahiri kwamba Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imepata mwarobaini wa matatizo yake, ikiwa ni pamoja na wanafunzi kulipwa stahili zao na mamlaka husika.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Kinondoni sasa kupata haki zao.

Serikali imeunda Kamati ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ili kusikiliza na kutatua kero na changamoto zinazowakabili wananchi wanapodai haki zao katika mahakama za kikatiba.

Kamati hiyo itakayoshughulikia nidhamu ya mahakama imeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mahakama nambari 4 ya mwaka 2011, sehemu ya 51 mabano moja.

Kamati iliyoundwa itashughulikia malalamiko ya wananchi dhidi ya mahakama ya mwanzo, na inaweza kumsimamisha kazi hakimu kupisha uchunguzi wa malalamiko dhidi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani