Wanasheria wawataka wananchi kufahamu haki zao
Wanasheria jijini Arusha wamewataka wananchi kufahamu haki zao za msingi ili waweze kutafuta marekebisho pale haki zao zinapovunjwa.
Hayo yamebainika katika maadhimisho ya siku ya haki za binadamu barani Afrika inayofanyika Oktoba 21 kila mwaka.
Wanasheria hao wamesema Idadi kubwa ya raia wanashindwa kupata haki zao kwa kuwa wengi wao hawafahamu hatua za kufuata pindi ukiukwaji wa haki za binadamu unapotokea.
Wakizungumza katika viunga vya mahakama kuu ya Afrika mawakili,...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao
WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya corona: Marais wa Tanzania na Kenya wawataka viongozi wa nchi zao kutatua mzozo wa mpaka
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Wananchi wawataka wajumbe kuzingatia nidhamu bungeni
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Abiria hawajui haki zao safarini
HIVI karibuni kumeripotiwa ajali nyingi za barabarani zikiwemo zile zilizotokea mkoani Singida na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha. Nilipata msukumo wa kutaka kufahamu ni kwanini matukio ya ajali, hasa za...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Wanawake watakiwa kutambua haki zao
WAWANAKE mkoani Iringa wametakiwa kuzitambua haki zao sambamba na sheria za utawala bora ndani ya jamii katika kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Wanafunzi wasipoandamana hawapewi haki zao?
9 years ago
StarTV04 Nov
Wakazi Kinondoni sasa kupata haki zao.
Serikali imeunda Kamati ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ili kusikiliza na kutatua kero na changamoto zinazowakabili wananchi wanapodai haki zao katika mahakama za kikatiba.
Kamati hiyo itakayoshughulikia nidhamu ya mahakama imeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mahakama nambari 4 ya mwaka 2011, sehemu ya 51 mabano moja.
Kamati iliyoundwa itashughulikia malalamiko ya wananchi dhidi ya mahakama ya mwanzo, na inaweza kumsimamisha kazi hakimu kupisha uchunguzi wa malalamiko dhidi...