Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abiria hawajui haki zao safarini

HIVI karibuni kumeripotiwa ajali nyingi za barabarani zikiwemo zile zilizotokea mkoani Singida na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha. Nilipata msukumo wa kutaka kufahamu ni kwanini matukio ya ajali, hasa za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao

WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni kweli abiria hatuwezi kulinda staha zetu safarini?

Ni safari ya kuelekea mkoani Kigoma niliyoifanya hivi karibuni kwa kutumia usafiri wa basi. Safari ya siku moja na nusu hivi yenye matukio ambayo kuacha kuyasimulia ni kutoitendea haki jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani — 3

Katika mfululizo wa uhakiki huu wa kitabu cha Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani kilichotungwa na Al-Muswadiku Chamani, tumeangalia utangulizi, mazingira yanayokizunguka kitabu na muhtasari wa kitabu. Sasa endelea…...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka marekebisho ya sheria kuwapa haki abiria wa mabasi kudai fidia

Katibu Mtendaji wa Sumatra CCC, Oscar Kikoyo SERIKALI imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria za usalama barabarani ziwezeshe kutoa haki kwa mtumiaji wa mabasi anapopata ajali, alipwe bima kama ilivyo kwa watumiaji wa ndege na meli.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanafunzi wasipoandamana hawapewi haki zao?

Sasa ni dhahiri kwamba Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu (Tahliso) imepata mwarobaini wa matatizo yake, ikiwa ni pamoja na wanafunzi kulipwa stahili zao na mamlaka husika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake watakiwa kutambua haki zao

WAWANAKE mkoani Iringa wametakiwa kuzitambua haki zao sambamba na sheria za utawala bora ndani ya jamii katika kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia. Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Kinondoni sasa kupata haki zao.

Serikali imeunda Kamati ya Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni ili kusikiliza na kutatua kero na changamoto zinazowakabili wananchi wanapodai haki zao katika mahakama za kikatiba.

Kamati hiyo itakayoshughulikia nidhamu ya mahakama imeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mahakama nambari 4 ya mwaka 2011, sehemu ya 51 mabano moja.

Kamati iliyoundwa itashughulikia malalamiko ya wananchi dhidi ya mahakama ya mwanzo, na inaweza kumsimamisha kazi hakimu kupisha uchunguzi wa malalamiko dhidi...

 

11 years ago

Habarileo

Wateja wa umeme, maji hawaelewi haki zao

Mwenyekiti wa EWURA CCC, Profesa Jamidu KatimaBARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Maji na Nishati (EWURA CCC) limesema sekta za nishati na maji , zinakabiliwa na changamoto ya watumiaji wa huduma hizo, kutokuwa na uelewa kuhusu haki na wajibu wao, jambo linalotoa mwanya kwa watoa huduma kutowajibika.

 

10 years ago

StarTV

 Wanasheria wawataka wananchi kufahamu haki zao

Wanasheria  jijini Arusha wamewataka  wananchi kufahamu haki zao za msingi ili waweze  kutafuta marekebisho  pale haki zao zinapovunjwa.

Hayo yamebainika katika maadhimisho ya siku ya haki za binadamu barani  Afrika inayofanyika Oktoba  21 kila mwaka.

Wanasheria hao wamesema Idadi kubwa ya raia wanashindwa kupata haki zao  kwa kuwa wengi wao hawafahamu  hatua za kufuata pindi ukiukwaji wa haki za binadamu  unapotokea.

Wakizungumza katika viunga vya mahakama kuu ya Afrika  mawakili,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani