Nataka kulewa
Hii ni mara yangu ya kwanza kuingia baa na ninajikuta nikitumia zaidi ya sekunde sitini nikiangazaangaza ndani ya baa hiyo bila hata ya kujua ni sehemu gani nianzie. Baada ya kuhakikisha kuwa macho yangu yametazama kila kona ya baa hiyo niliamua kukifuata kiti kimoja kilichokuwa wazi karibu na kaunta. Nilifika hapo na kukaa huku pembezoni mwangu kukiwa na mwanamume mwingine ambaye kidogo alinishangaza kwani hakuwa akinywa kilevi na badala yake alikuwa akinywa...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Nataka kulewa 2
10 years ago
Habarileo15 Dec
Madereva watakiwa kuacha kulewa
MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria za barabarani, kutotumia vinywaji vyenye kilevi na kuacha tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (sms) wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Daktari atuhumiwa kulewa pombe kazini
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XO38fqQ5MPY/VnMqe3N75GI/AAAAAAAINMI/nRAFxkRrhPc/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-XO38fqQ5MPY/VnMqe3N75GI/AAAAAAAINMI/nRAFxkRrhPc/s320/1.1774256.jpg)
Wote tunajua kuwa kila atendaye kosa sharti aadhibiwe. Na kuadhibiwa huko lazima kuwe kwa mujibu wa sheria. Pamoja na kuwa mtenda kosa hustahili adhabu bado watenda kosa hutofautiana hadhi. Hadhi hapa sio kuwa fulani ni mkuu wa mkoa au mkurugenzi na fulani ni mkulima wa kawaida kijijini Katanakya.
Hadhi ndio kama hizo zilizotajwa katika kichwa cha makala. Wapo watenda makosa lakini wakiwa na umri mdogo, wapo...
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Mwanariadha wa Kenya Wilson Kipsang akamatwa kwa kulewa wakati wa amri ya kutotoka nje
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Lulu: Nataka wazee kimaendeleo
NA SHARIFA MMASI
MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.
Lulu alisema kipindi alipokuwa katika uhusiano na wanaume wakubwa, alijifunza mambo mengi ambayo yanaendelea kumuweka daraja la juu katika mafanikio ya maisha yake ya sasa.
“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-*gLHuflH*KZtyzkIgvgEn0-0p0Iu0Z9SyQS9SOdeI8zqYBGVD28GBO2TICCd3T-8IXsT*WMg0z5QsmC5lt7ER1/wastara.jpg?width=650)
WASTARA: NATAKA KUOLEWA NA BILIONEA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpEAnr9hjcRfxQ5sLBhDmkzcymiYKpbD4xMshCIBuhGo96UuFJc-veC-CGIEDVW7sO-IiafOJ0LJlpSzvsDZJz-x/wo.jpg?width=650)
WOLPER: NATAKA SERIKALI MBILI
11 years ago
Habarileo15 Mar
Sitta: Nataka nidhamu bungeni
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.