Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nataka kulewa 2

Bila ya kupoteza muda nikaanza kumsimulia Bwana Edvin kisa kilichonikuta katika siku nzima ya leo hadi nikajikuta nikiishia baa. Naamini nimeshakusimulia na itakuwa ni upotezaji wa muda ikiwa nitaanza tena kukusimulia upya. Nilitumia kama dakika tano na tayari nimekwisha msimulia  Bwana Edvin kisa chote na nikaona uso wake ukiingiwa na hali fulani ya huruma juu yangu. “Pole sana Bwana Roma kwa yaliyokukuta”. Aliniambia Edvin. Yameshatokea na hata nikipewa pole na dunia nzima...

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Nataka kulewa

Hii ni mara yangu ya kwanza kuingia baa na ninajikuta nikitumia zaidi ya sekunde sitini nikiangazaangaza ndani ya baa hiyo bila hata ya  kujua ni  sehemu gani nianzie. Baada ya kuhakikisha kuwa macho yangu yametazama kila kona  ya baa hiyo niliamua kukifuata kiti  kimoja kilichokuwa  wazi karibu na kaunta. Nilifika hapo na kukaa  huku pembezoni  mwangu kukiwa na mwanamume mwingine ambaye kidogo  alinishangaza kwani hakuwa akinywa kilevi na badala yake alikuwa akinywa...

 

10 years ago

Habarileo

Madereva watakiwa kuacha kulewa

MADEREVA nchini wametakiwa kuzingatia sheria za barabarani, kutotumia vinywaji vyenye kilevi na kuacha tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (sms) wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto.

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari atuhumiwa kulewa pombe kazini

Baadhi ya wagonjwa waliofika kupata huduma katika Hospitali ya Wilaya ya Geita wameutaka uongozi kumtimua daktari mmoja (jina tunalihifadhi), kwa madai ya kufanya kazi za kitabibu akiwa amelewa.

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE KULEWA, KUTOKUWA NA AKILI TIMAMU NI KINGA BAADA YA KUTENDA JINAI

Na  Bashir  Yakub.
Wote  tunajua  kuwa  kila  atendaye  kosa  sharti  aadhibiwe.  Na  kuadhibiwa huko  lazima  kuwe  kwa  mujibu  wa  sheria.  Pamoja  na  kuwa  mtenda  kosa  hustahili  adhabu  bado  watenda  kosa  hutofautiana hadhi. Hadhi  hapa  sio  kuwa  fulani ni  mkuu  wa  mkoa  au  mkurugenzi  na  fulani  ni  mkulima  wa  kawaida kijijini  Katanakya.  
Hadhi  ndio  kama  hizo  zilizotajwa katika  kichwa  cha  makala.  Wapo  watenda  makosa   lakini  wakiwa na  umri  mdogo,  wapo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mwanariadha wa Kenya Wilson Kipsang akamatwa kwa kulewa wakati wa amri ya kutotoka nje

Aliyekua bingwa wa mbio za marathon nchini Kenya Wilson Kipsang ameachiliwa kwa dhamana baada ya kushtakiwa kwa kukiuka amri ya kutotoka nje

 

9 years ago

Mtanzania

Lulu: Nataka wazee kimaendeleo

Lulu picha mpya kubwaNA SHARIFA MMASI

MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.

Lulu alisema kipindi alipokuwa katika uhusiano na wanaume wakubwa, alijifunza mambo mengi ambayo yanaendelea kumuweka daraja la juu katika mafanikio ya maisha yake ya sasa.

“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na...

 

11 years ago

GPL

WASTARA: NATAKA KUOLEWA NA BILIONEA

Stori:  Na Imelda Mtema
IKIWA ni takribani mwaka mmoja tangu alipoondokewa na mumewe, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema sasa yupo tayari kuolewa lakini sharti la kwanza la muoaji lazima awe mtu mwenye fedha zake. Wastara Juma. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Wastara alisema, amekuwa mpweke kwa muda mrefu na sasa ni wakati...

 

11 years ago

GPL

WOLPER: NATAKA SERIKALI MBILI

MWIGIZAJI staa Bongo, Jacqueline Wolper ameifungukia rasimu ya katiba mpya ambayo ipo bungeni kujadiliwa kwa sasa akisema yeye matakwa yake ni kuwepo kwa serikali mbili na si tatu wala ya mkataba.
Akipiga stori na safu hii juzi jijini Dar, Wolper alisema anaamini serikali ya tatu itakuwa mzigo kwa wananchi ambao ndiyo walipa kodi. Muigizaji staa Bongo, Jacqueline Wolper “Serikali mbili ndiyo mpango mzima, ya tatu ni...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta: Nataka nidhamu bungeni

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameanza kazi na kuwaonya wajumbe wa bunge hilo ambao wamekuwa na tabia ya kupayuka ovyo kwenye vipaza sauti, kuwa wasimlaumu kwa vile atawabana kwa kutumia kanuni walizozitunga wao wenyewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani