Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI‏

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi

Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.

Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Florah Mvungi Amkataza H:Baba Kucheza Mpira

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amemkataza mume wake,msanii wa Bongo Fleva,H: Baba kucheza mpira.

H: Baba amesajiliwa na klabu ya Toto African ya jijini Mwanza hali inayomfanya kuwa mbali na familia yake ambayo ipo jijini Dar,na ndiyo sababu kubwa iliyotajwa kukatazwa na mkewe kuichezea timu hiyo.

Kwa mujibu wa msanii huyo alisema kuwa mkewe alikaa kikao na ndugu zake waliopo jijini Mwanza kuzungumzia suala hilo kama atakubali abaki kucheza mpira atacheza lakini akibaki na...

 

10 years ago

Vijimambo

JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’

Na Shaffih Dauda, Dar es salaam.
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...

 

10 years ago

CloudsFM

BARCELONA KUCHEZA NA TANZANIA MACHI 28 TAIFA

TIMU ya wachezaji nyota wa zamani Barcelona FC watacheza mechi na wachezaji wa zamani wa Tanzania, Tanzania All stars machi 28 kwenye uwanja wa taifa.Mwakilishi wa wachezaji wa Barcelona, Patrick Kluivert alisema jana mechi hiyo itawahusisha wachezaji nyota wa Barcelona wakiwemo, Edgar Davis,Gaiza Mandieta, Ludovi Giuly, Francesco Coco na wengine waliopita kwenye timu hiyo.Kluivert alisema "ameshakuwa mwenyeji hapa Tanzania kwani ni ujio wake wa tatu na anaamini kuwa mashabiki wanapenda...

 

11 years ago

GPL

SHABIKI WA SKYLIGHT BAND AWADATISHA JONIKO FLOWER NA ANETH KUSHABA KWA KUCHEZA MA-STYLE YA BENDI HIYO BILA KUKOSEA!‏

Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar. Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony Masamba wakiwajibika jukwaani.…

 

10 years ago

Mwananchi

Idris adai Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia

Baada ya kuishiwa pointi ya kuchangia wakati wenzake wakizungumzia mpira wa miguu na jinsi nchi za Afrika zinavyoboroka katika mashindano ya kimataifa, mwakilishi wa Tanzania, Idris aliamua kutibua maongezi hayo kwa kusema Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia.

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAO, SASA KUWALIPIA WASHINDI WA KUCHEZA STYLE YA “KIKUKU” USAFIRI, TIKETI NA VINYWAJI KWENYE SHOW ZAO!‏

Kijana Machachari wa Skylight Band Hashim Donode (kushoto) akilianzisha Taratibuuuu Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village akipewa Sapoti na Sony Masamba. Sasa mashabiki na wapenzi wa Skylight Band kila wiki wanashindanishwa kucheza staili yao matata ya "Kikuku na washindi hupewa ofa ya kulipiwa vinywaji, kiingilio na usafiri. Mwanzo ilikuwa Ijumaa iliyopita ambapo washindi walipewa ofa hiyo pamoja na kuhudhuria show yao kali...

 

11 years ago

GPL

TUJUMUIKE PAMOJA LEO KUCHEZA WIMBO MPYA WA SKYLIGHT BAND "PASUA TWENDE" KIOTA CHA MARAHA THAI VILLAGE JIJINI DAR‏

Na hii ndio Video ya Skylight Band ya Wimbo mpya "PASUA TWENDE" Mary Lucos akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Hashim Donode sambamba na Digna Mbepera Ijumaa iliypoita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.…

 

10 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAIPELEKA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS MTAANI‏

Meneja Masoko wa Vodacom Tanzania Kanda ya Ilala George Venanty (wa pili toka kulia) akifafanua jambo kwa wafanyakazi wenzake wakati wa kutoa elimu ya promosheni ya Jaymillions kwa wateja wa kampuni hiyo na wananchi kwa ujumla. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544. Muuza magazeti wa Kariakoo jijini Dar es…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani