MFARANSA SEAN GARNIER AJA TANZANIA KUONYESHA UMAHIRI WA KUCHEZA MPIRA WA MTAANI HUKU AKIBINUKA SARAKASI NA KUCHEZA DANSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
 Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohn's John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Mfaransa Sean Garnier aja Tanzania kuonyesha umahiri wa kucheza mpira wa mtaani huku akibinuka sarakasi na kucheza dansi
![](http://4.bp.blogspot.com/-QPs1TCNPQ_s/U7SMT4j_A3I/AAAAAAAA8q4/sZAuSqbdn_o/s1600/IMG_0323.jpg)
Meneja Masoko wa Kampuni ya Mohan’s John Ntuli (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kumtambulisha Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo. Pembeni ni Mkurugenzi wa Masoko Kampuni ya Mohan’s Vijay Joshi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MC27xq5WgXg/U7SMj-6jXtI/AAAAAAAA8rI/HFjggw3kBL0/s1600/IMG_0331.jpg)
Mwanamichezo kutoka nchini Ufaransa Sean Garnier (katikati) ambaye yuko nchini Tanzania kwa ziara maalum ya kimichezo akifafanua machache mbele ya waandishi wa habari mara baada ya...
10 years ago
Bongo Movies12 Aug
Florah Mvungi Amkataza H:Baba Kucheza Mpira
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Frolah Mvungi amemkataza mume wake,msanii wa Bongo Fleva,H: Baba kucheza mpira.
H: Baba amesajiliwa na klabu ya Toto African ya jijini Mwanza hali inayomfanya kuwa mbali na familia yake ambayo ipo jijini Dar,na ndiyo sababu kubwa iliyotajwa kukatazwa na mkewe kuichezea timu hiyo.
Kwa mujibu wa msanii huyo alisema kuwa mkewe alikaa kikao na ndugu zake waliopo jijini Mwanza kuzungumzia suala hilo kama atakubali abaki kucheza mpira atacheza lakini akibaki na...
10 years ago
Vijimambo15 Dec
JAJA, COUTINHO, EMERSON WADHIHIRISHA SI KILA MBRAZIL ANAJUA KUCHEZA MPIRA…KIIZA BADO ‘KIDUME’
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/HMB_6496.jpg)
YANGA SC wamekuwa wateja wa Simba katika mechi mbili za ‘Nani Mtani Jembe’.Desemba 21 mwaka jana walifungwa mabao 3-1 na Mnyama Simba na jana walitandikwa mabao 2-0.Katika mechi ya jana, wachezaji wa kigeni wa Yanga walikuwa Emerson Oliveira, Andrey Coutinho, Kpah Sherman, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima.Hamis Friday Kiiza tayari walishamtoa, lakini cha kuwashauri Yanga ni kufanya kila wawezalo kumbakisha Mganda huyu kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa...
10 years ago
CloudsFM10 Feb
BARCELONA KUCHEZA NA TANZANIA MACHI 28 TAIFA
![](http://api.ning.com/files/741FtnVWixYqZjybrikYvSZHf9d-IuTfYvrzM5ZOY*aSEeRBLMoeDCcMS3zOMFErPDsoZv9P12NQXKD8Q4IywvpJpV4BIaKc/pat1.jpg)
![](http://api.ning.com/files/741FtnVWixYCydG6PDr*MLDw1qVq3jtEBqkDM7MQGUcR0yzXbbFmH0doBT*ZSQ1pPzhYE2*IFvQbMQU3vbgAobknxziOT2ej/pat2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_01061.jpg)
SHABIKI WA SKYLIGHT BAND AWADATISHA JONIKO FLOWER NA ANETH KUSHABA KWA KUCHEZA MA-STYLE YA BENDI HIYO BILA KUKOSEA!
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Idris adai Tanzania imewahi kucheza Kombe la Dunia
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/13.jpg)
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAO, SASA KUWALIPIA WASHINDI WA KUCHEZA STYLE YA “KIKUKU” USAFIRI, TIKETI NA VINYWAJI KWENYE SHOW ZAO!
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00782.jpg?width=650)
TUJUMUIKE PAMOJA LEO KUCHEZA WIMBO MPYA WA SKYLIGHT BAND "PASUA TWENDE" KIOTA CHA MARAHA THAI VILLAGE JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/skuCKHlxf8VYf-DUOyKyVdUA*ANpijz2LJpTixxzmFrOT*O928qYlPvNty12xYS5WQXpHt6EzaU9ZFal7oOCzgt8vm69twng/001.JAYMILLIONSMARKETSTORM.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAIPELEKA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS MTAANI