SHABIKI WA SKYLIGHT BAND AWADATISHA JONIKO FLOWER NA ANETH KUSHABA KWA KUCHEZA MA-STYLE YA BENDI HIYO BILA KUKOSEA!
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_01061.jpg)
Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar. Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony Masamba wakiwajibika jukwaani.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Shabiki wa Skylight Band awadatisha Joniko Flower na Aneth Kushaba kwa kucheza ma-style ya bendi hiyo bila kukosea!
Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony Masamba wakiwajibika jukwaani.
Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
So how do you expect me to live alone with just me …’Cause my world revolves around you
It’s so hard for me to breathe...No air...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/13.jpg)
SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAO, SASA KUWALIPIA WASHINDI WA KUCHEZA STYLE YA “KIKUKU” USAFIRI, TIKETI NA VINYWAJI KWENYE SHOW ZAO!
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Mashabiki wazidi kuifangilia Skylight Band njoo leo upate vitu vipya kutoka kwenye Bendi hiyo
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Skylight Band yazidi kuwakuna mashabiki wao, sasa kuwalipia washindi wa kucheza style ya “Kikuku” Usafiri, Tiketi na Vinywaji kwenye show zao
Kijana Machachari wa Skylight Band Hashim Donode (kushoto) akilianzisha Taratibuuuu Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village akipewa Sapoti na Sony Masamba. Sasa mashabiki na wapenzi wa Skylight Band kila wiki wanashindanishwa kucheza staili yao matata ya “Kikuku na washindi hupewa ofa ya kulipiwa vinywaji, kiingilio na usafiri. Mwanzo ilikuwa Ijumaa iliyopita ambapo washindi walipewa ofa hiyo pamoja na kuhudhuria show yao kali iliyopigwa ndani ya Dar Live.
Meneja her self …Aneth Kushaba...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/DSC_0056.jpg)
NJOO TUCHEZE STYLE YA "YACHUMA CHUMA" NA SKYLIGHT BAND LEO NDANI YA KIOTA CHA THAI VILLAGE
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Aneth Kushaba kufungua mwaka na ‘Call Me’
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mkurugenzi wa Bendi ya Stars, Aneth Kushaba, amesema anatarajia kuvunja ukimya wake mapema mwakani na wimbo unaoitwa ‘Call Me’ ambao ameufanya kwenye studio za B Hits chini ya mtayarishaji, Pancho Latino.
Aneth alisema kwa muda mrefu amefanya kazi chini ya bendi hivyo mashabiki wake wamekuwa wakiuliza kazi zake binafsi zitatoka lini na ameamua kuwajibu kwa kuutoa wimbo huo utakaotoka Januari mwakani.
“Huo ni wimbo wangu binafsi, kwa muda mrefu nimekuwa...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_00782.jpg?width=650)
TUJUMUIKE PAMOJA LEO KUCHEZA WIMBO MPYA WA SKYLIGHT BAND "PASUA TWENDE" KIOTA CHA MARAHA THAI VILLAGE JIJINI DAR
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
Njoo tucheze “Kikuku” style zingine kibao na Skylight Band ndani ya Thai Village leo
Vijana watanashati wa Skylight Band: Kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye uwanja wao wa nyumbani Thai Village -Masaki jijini Dar. LEO PIA SIO YA KUKOSA ITAKUWA ZAIDI YA JANA..!
Maman nangayi e napeli moto…maman nanga a napeli moto (x2)…Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo sambamba na Aneth Kushaba AK 47 wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band.
Aneth Kushaba AK47 kwenye hisia kali.
Nani kama...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0089.jpg)
WASHIRIKI WA SHINDANO LA MISS ILALA 2014 WATAMBULISHWA RASMI KWA MASHABIKI WA SKYLIGHT BAND
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10