Aneth Kushaba kufungua mwaka na ‘Call Me’
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mkurugenzi wa Bendi ya Stars, Aneth Kushaba, amesema anatarajia kuvunja ukimya wake mapema mwakani na wimbo unaoitwa ‘Call Me’ ambao ameufanya kwenye studio za B Hits chini ya mtayarishaji, Pancho Latino.
Aneth alisema kwa muda mrefu amefanya kazi chini ya bendi hivyo mashabiki wake wamekuwa wakiuliza kazi zake binafsi zitatoka lini na ameamua kuwajibu kwa kuutoa wimbo huo utakaotoka Januari mwakani.
“Huo ni wimbo wangu binafsi, kwa muda mrefu nimekuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Shabiki wa Skylight Band awadatisha Joniko Flower na Aneth Kushaba kwa kucheza ma-style ya bendi hiyo bila kukosea!
Vijana wa JembeniJembe wa Skylight Band wakitikisa jukwaa kutoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
Digna Mbepera, Mary Lucos na Sony Masamba wakiwajibika jukwaani.
Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
So how do you expect me to live alone with just me …’Cause my world revolves around you
It’s so hard for me to breathe...No air...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_01061.jpg)
SHABIKI WA SKYLIGHT BAND AWADATISHA JONIKO FLOWER NA ANETH KUSHABA KWA KUCHEZA MA-STYLE YA BENDI HIYO BILA KUKOSEA!
10 years ago
Vijimambo04 Dec
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Twanga Pepeta kufungua mwaka Dar Live
Na Mwandishi Wetu
BENDI kongwe ya muziki wa Dansi nchini, The African Stars International ‘Twanga Pepeta’ Januari 1 ambayo pia ni Sikukuu ya Mwaka Mpya, wanatarajiwa kufungua mwaka kwa kishindo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Akizungumza na gazeti hili, Meneja wa Dar Live, Juma Mbizo alisema kuwa siku zote ukumbi huo hauishi kwa burudani na safari hii katika Sikukuu ya Mwaka Mpya wamewaandalia bendi isiyoshikika Bongo ya Twanga Pepeta ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0jUoOJAHEg/VBKswqAJnKI/AAAAAAAGjHM/AGzOYxIfc2A/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI0001.jpg)
10 years ago
VijimamboTIGO MUSIC KUTIKISA JIJI NA BURUDANI YA KUFUNGUA MWAKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWDFW87jG4Esa6pvlr7QBbCzP4DICwLUm4Nrut516sl0*dIaMREcIzVBbrg7ECz1fxKD5brZ2aW9*K0AJpCiSOX/SAA24.jpg?width=750)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKfhOnFJPzY/VSY2GBr-W7I/AAAAAAAHPvw/YUePZdNkMSU/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
IGP MANGU AWASILI MKOANI MOROGORO KUFUNGUA MKUTANO WA SITA WA MWAKA URA-SACCOS
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKfhOnFJPzY/VSY2GBr-W7I/AAAAAAAHPvw/YUePZdNkMSU/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FpUfZYIPbRM/VSY2GVaoR1I/AAAAAAAHPv4/P61JnHldizM/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
5 years ago
MichuziMwananchi apanga kufungua shauri,Mahakama izuie uchaguzi mwaka huu,fedha zielekezwe kupambana na Corona
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwananchi mmoja anaefahamika kwa jina la Johnson Mgimba mkazi wa Njombe Mjini amesema kutokana na ugonjwa wa covid19 kuendelea kushika kasi nchini na duniani kote , amekusudia kufungua kesi katika mahakama kuu kanda ya Iringa ya kuomba serikali kusitisha mchakato na maandalizi ya uchaguzi mkuuu na fedha iliyotengwa kuelekezwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Raia huyo ambaye amejibatiza jina la kijana mzalendo amesema kuna kila sababu ya kusitisha uchaguzi...