TIGO MUSIC KUTIKISA JIJI NA BURUDANI YA KUFUNGUA MWAKA
Meneja Chapa wa Tigo bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tigo Music( Tigo Kiboko Yako) ambayo itawawezesha wasanii wa ndani kuweza kupata kipato kwa kusikilizwa nyimbo zao kupitia simu za mkononi, pia itaambatana na tamasha kubwa litakalofanyika tarehe 24 mwezi huu viwanja vya Leaders Kinondoni. Picha zote kwa hisani ya Mdimuz Blog
Mkuu wa Kitengo cha Ufanisi na Burudani bi. Paulina Shao akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Skylight Band wazidi kutikisa jiji la Dar kwa burudani nzito
Skylight Band Divas Mary Lucos(Wa kwanza Kushoto) Aneth Kushaba AK47 (katikati) Na Digna Mbepera (wa kwanza kulia) wakitoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wao ndani ya Kijiji cha Maraha Thai Village Ijumaa Iliyopita.Kila Ijumaa ya mwisho wa wiki Band ya Skylight wanapiga show Ndani ya Thai Village.Karibu Leo Upate burrudani ya nguvu yenye kukonga Roho yako na kutakuwa na Supriseeeeeee kibaoooo ndani ya Thai Village.
Hashimu Donode akiimba kwa raha zake ndani ya Thai Village
11 years ago
Dewji Blog16 May
Skylight Band wazidi kutikisa Jiji la Dar kwa Burudani, usikose Ijumaa hii
Kikosi Cha Skylight kutoka kushoto ni Winfrida, Sam Mapenzi na Sony Masamba wakianza kuamsha amsha ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Sam Mapenzi akiimba kwa Hisia kali wimbo wa “All on Me wa John Legend” ndani ya Thai Village.
Winfrida Richard akiimba kwa hisia kubwa ndani ya Thai Village Ijumaaa iliyopita.
Mpiga Gita mahiri wa Skylight Band Allen Kisso Mundele akizikung’uta nyuzi za gitaa hilo ipasavyoooooo.
Idrisa idrisaaa ma drummmm akicharanga vyombo kwa umahiri ili kuleta...
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo, Original Komedi na Wasanii kibao kutikisa jiji la Mwanza kwenye tamasha la Welcome Pack jumamosi hii
Meneja wa Bidhaa wa Tigo Bw. Edwin Mgoa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza tamasha kubwa la Tigo welcome pack litakalofanyika uwanja wa ccm Kirumba jijini Mwanza Jumamosi ya wiki hii, tamasha hili litaweza kuwapa wananchi fursa ya kupata maelezo ya kina kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Msanii wa kundi la Original Komedi Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja akitoa vionjo kwenye mkutano wa waandishi wa habari(hawapo pichani) kwa ajili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWDFW87jG4Esa6pvlr7QBbCzP4DICwLUm4Nrut516sl0*dIaMREcIzVBbrg7ECz1fxKD5brZ2aW9*K0AJpCiSOX/SAA24.jpg?width=750)
11 years ago
Dewji Blog30 May
Skylight Band waleta homa ya burudani ndani ya Jiji la Dar, njoo utibiwe Thai Village Ijumaa hii kwa burudani ya nguvu
Sam Mapenzi akiamsha amsha Taratibuuuuuuu ndani ya Thai Village.
Winfrida Richard akiimba kwa sauti nyororooooo kabisaaaa amsha amsha kwa mashabiki ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Sam Mapenzi kushoto akiwa na Winfrida Richard wakitoa vocal za ukweli kuwapa raha mashabiki wao ndani ya Thai Village.
Aneth Kushaba AK47 toka kulia akiongoza makamuzi ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Joniko Flower kushoto akiongoza makamuzi ya sebene kaliii akipewa sapoti na Sony Masamba.
10 years ago
Dewji Blog27 May
YAMOTO Band kutikisa jiji la Arusha Jumamosi hii
Bendi maarufu ya Yamoto yenye makazi yake jijini Dar es salaam inayoundwa na vijana wanne jumamosi Mei 30 inataraji kutumbuiza katika jiji la Arusha katika onyesho la Usiku wa wanawake maarufu
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mratibu wa onyesho hilo,Faustine Mwandago alisema kuwa bendi hiyo inataraji kupamba onyesho hilo ambalo wahudhuriaji wote watavalia vazi jeupe.
Alisema kuwa onyesho hilo litasindikizwa na wanawake maarufu kam Vera Sidika na Miss Tanzania 2015,Lilian Kamazima...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Baada ya kutikisa nchini Oman, Skylight Band warejea nchini kutoa burudani ya nguvu Ijumaa ya leo
Baada ya Safari ndefu ya nchini Oman ambako Bendi Inayotikisa nchini kwa sasa Skylight Band walitoa Burudani ya Nguvu huko ughaibuni na kuacha historia isiyofutika kirahisi, Sasa Bendi yako imerejea nchini Tanzani. Leo Kama kawaida yetu Skylight Band tutakuwa kiwanja cha nyumbani Thai Village kukuletea burudani ya nguvuuu kabisaaaaa ikiwa na kikosi kamili na masong mapyaaaaa,Usikose Leo kuanzia Sa Tatu Kamilii……
Divas wa Skylight Band walisongesha vya kutosha kutoa burudani ya nguvu...
10 years ago
GPLBAADA YA KUTIKISA NCHINI OMAN, SKYLIGHT BAND WAREJEA NCHINI KUTOA BURUDANI YA NGUVU IJUMAA YA LEO
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Malaika Music kutikisa Ijumaa
BAADA ya mapumziko ya wiki moja bendi ya muziki wa dansi ya Malaika Music ‘Wafalme wa Masauti’ inayoongozwa na Christian Bella, inatarajia kuendelea na kazi kuanzia Ijumaa itakapotoa burudani katika...