Tambwe awapa raha Yanga
 Mshambuliaji Amissi Tambwe aliwapa raha mashabiki wa Yanga baada ya jana kuifungia timu yake mabao mawili dhidi ya BDF XI ya Botswana iliyokuwa ikishangiliwa muda wote na mashabiki wa Simba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCOUTINHO AWAPA RAHA YANGA, KOMBE LA MAPINDUZI
9 years ago
Habarileo10 Dec
Tambwe ampa raha Pluijm
KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm, amesema kupona kwa mshambuliaji wake Mrundi Amissi Tambwe, kumeongeza matumaini ya kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Mgambo JKT Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mwigulu awapa raha wafanyabiashara Tanga
9 years ago
Habarileo18 Sep
Yanga yampa raha kocha
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amekisifu kikosi chake kwa kucheza vizuri na kupata ushindi wa nguvu wa mabao 3-0 katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Ngassa aipa raha Yanga
JENIFFER ULLEMBO NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kurejea kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga imewashusha waliokuwa vinara Azam wenye pointi 22 baada ya kufikisha jumla ya pointi 25, lakini wanalambalamba hao wana mchezo mmoja mkononi.Winga wa Yanga, Mrisho Ngassa ndiye aliyeibuka shujaa kwa timu yake baada ya kuifungia mabao hayo yote, akiwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Wachezaji Yanga SC wampa raha Maximo
KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema timu yake imezidi kumpa raha kutokana na kiwango cha wachezaji kuzidi kuimarika kila siku kutokana na utayari wa wachezaji wa...
9 years ago
Habarileo20 Dec
Yanga raha zao, Simba yabanwa
YANGA jana iliendelea kujiweka vizuri katika harakati zake za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuichapa Stand United mabao 4-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo26 Oct
Ngoma: Nitaendelea kuwapa raha Yanga
MSHAMBULIAJI mahiri wa Yanga, Donald Ngoma amesema ataendelea kuwapa raha mashabiki wa timu hiyo katika kila mchezo kwani ameshaizoea Ligi Kuu Tanzania Bara. Kutokana na hali hiyo, Ngoma amesema ndoto yake ya kuhakikisha Yanga inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu itatimia kwani wachezaji wenzake wa Yanga wameelewa uchezaji wake na namna ya kumtengenezea nafasi za kufunga.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlROZE3OFD*ikU-*qhJXVZqCErgJnTWTlaH-ThDz4mG1*Jk-sjSUSFukF3mvAHg6*ppq*1Cp1NGZPwPNIYACOKLdq/gfhgfgh.gif?width=650)
Thamani ya Tambwe Yanga ni kufuru