Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngoma: Nitaendelea kuwapa raha Yanga

MSHAMBULIAJI mahiri wa Yanga, Donald Ngoma amesema ataendelea kuwapa raha mashabiki wa timu hiyo katika kila mchezo kwani ameshaizoea Ligi Kuu Tanzania Bara. Kutokana na hali hiyo, Ngoma amesema ndoto yake ya kuhakikisha Yanga inatetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu itatimia kwani wachezaji wenzake wa Yanga wameelewa uchezaji wake na namna ya kumtengenezea nafasi za kufunga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAENDELEA KUWAPA RAHA MASHABIKI WAKE, NI IJUMAA HII THAI VILLAGE

Vijana wa Skylight Band wakitoa burudani Ijumaa iliyopita kwa mashabiki wao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar... Burudani inaendelea kama kawaida tukutane tena leo jioni......ni balaaaaa..! Divas wa Skylight Band... Kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Mary Lucos na Aneth Kushaba AK47 wakikonga nyoyo za mashabiki wao ndani ya kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Ijumaa iliyopita.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band ni moto wa kuotea mbali, wazidi kuwapa raha mashabiki wao kwa burudani nzuri

 Pichani Kutoka kushoto ni Bella Kombo akiongoza mashambulizi ya jukwaa akipewa sapoti na Digna Mbepera(katikati) na kwa mbaliiiii ni Aneth kushaba.

Kama kawaida yetu inapofika mwishoni mwa juma yaani Ijumaa huwa inakuwa ni siku ya furaha na kubadilishana mawazo, kupunguza stress za kazini…..paleee Thai Village Masaki.Kwenye Jukwaa Bendi yako matata na inayotikisa Tanzania na Jiji la Dar Skylight Band wanakuwa wanakupa burudani ya nguvu na iliyoenda shule.Karibu leo kuanzia saa 3 kamili...

 

10 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND NI MOTO WA KUOTEA MBALI, WAZIDI KUWAPA RAHA MASHABIKI WAO KWA BURUDANI NZURI‏

Pichani Kutoka kushoto ni Bella Kombo akiongoza mashambulizi ya jukwaa akipewa sapoti na Digna Mbepera(katikati) na kwa mbaliiiii ni Aneth kushaba. Aneth Kushaba AK 47…

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wazidi kuwapa raha zisizo na kifani mashabiki wake Jijini Dar, usikose leo ndani ya Thai Village

Sam Mapenzi akiliazisha Taratibuuuuu ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

Vijana wa Skylight kwa Taaratibuuu wakiimba kwa hisiaa kali kuwapa burudani mashabiki wao ndani ya kiwanja cha Thai village.

Anaitwa Hashim Donode (mzee wa viduku)akiimba kwa Hisia kaliiiii kabisaaa ndani ya  kiwanja cha Thai Village Ijumaaa iliyopita ili kuwapa ile kitu  roho inapenda mashabiki  wao.

Toka kushoto Digna Mbepera akimpa sapoti ya nguvu kijana  machachariiiiii anayejulikana kwa jina la Donode...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yampa raha kocha

KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amekisifu kikosi chake kwa kucheza vizuri na kupata ushindi wa nguvu wa mabao 3-0 katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mtanzania

Ngassa aipa raha Yanga

pg32JENIFFER ULLEMBO NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kurejea kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuichapa Mtibwa Sugar mabao 2-0 mchezo uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga imewashusha waliokuwa vinara Azam wenye pointi 22 baada ya kufikisha jumla ya pointi 25, lakini wanalambalamba hao wana mchezo mmoja mkononi.Winga wa Yanga, Mrisho Ngassa ndiye aliyeibuka shujaa kwa timu yake baada ya kuifungia mabao hayo yote, akiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe awapa raha Yanga

 Mshambuliaji Amissi Tambwe aliwapa raha mashabiki wa Yanga baada ya jana kuifungia timu yake mabao mawili dhidi ya BDF XI ya Botswana iliyokuwa ikishangiliwa muda wote na mashabiki wa Simba kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga raha zao, Simba yabanwa

 YANGA jana iliendelea kujiweka vizuri katika harakati zake za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuichapa Stand United mabao 4-0 katika mechi iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wachezaji Yanga SC wampa raha Maximo

KOCHA Mkuu wa timu ya Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amesema timu yake imezidi kumpa raha kutokana na kiwango cha wachezaji kuzidi kuimarika kila siku kutokana na utayari wa wachezaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani