Julio: Simba, Yanga Azam hao ndio nani?
TIMU ya Mwadui FC imesema haiziogopi timu za Azam, Simba wala Yanga kwani imejipanga kuhakikisha inapambana nazo kuondoka na ushindi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s72-c/MMGL0169.jpg)
AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-loze6uz99L4/VPx_cFdgBFI/AAAAAAADbqU/jECI3XpZ2pY/s1600/MMGL0169.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lcG7nGUTfKs/VPx_b-JPmrI/AAAAAAADbqQ/vw34R5bUalk/s1600/MMGL0172.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iOw-SP5Bt_Q/VPx_b4Yq6JI/AAAAAAADbqM/eqP8Gz6fDkk/s1600/MMGL0229.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*W2QJ-NIHqaJJLcjYNgU42jlYyImsQr9atZosHEt2t8cZG0sr5Xrvahb3td5kjNVBJVul3uZ6SrVxAIVQv-PmIH/yanganaazam.jpg?width=650)
NANI KUCHEKA LEO, YANGA AU AZAM?
TIMU ya Yanga SC leo inavaana na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara utakaopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar. Kitendawili kinabaki ni nani kati yao ataibuka kidedea katika mtanange huo ambapo kila mmoja anawania kutwaa ubingwa wa ligi hiyo. Usikose kuungana nasi, kujua nini kinaendelea mpira ukianza!
10 years ago
VijimamboSIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-zc3yk_i8aEQ/VIxCRc87vwI/AAAAAAAAZUI/4nVjtHY24O0/s1600/454955_heroa.jpg)
Goli la pili la Simba limeweka wavuna na Elius Maguli na kuifanya Yanga kuzidi kutweta huku Simba wakizidi kuliandama lango la Yanga.
Mchezo huo wa kuania kombe la Nani Mtani Jembe 2014 bado unaendelea Uwanja wa Taifa jijini...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
Hatua ya Robo Fainali ya michuano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup 2015) inatarajiwa kuendelea kesho Jumatano kwa michezo miwili kuchezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, huku macho na masikio yakiwa kwenye mchezo kati ya Azam FC dhidi ya Yanga SC.
Mechi hiyo ya pili inatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvute kufuatia timu hizo mbili zinatotokea jijini Dar es salaam kuwa na upinzani mkali kuanzia katika Ligi Kuu a Vodacom Tanzania na...
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s640/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hfjTr5iVads/VIxPUJbFAxI/AAAAAAACUQY/yfBp7SauJqg/s72-c/02.jpg)
MPIRA UKWISHA SIMBA 2 YANGA 0 NANI MTANI JEMBE
![](http://api.ning.com/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hfjTr5iVads/VIxPUJbFAxI/AAAAAAACUQY/yfBp7SauJqg/s640/02.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKMx2WqnBcw/VIxPZUhiqsI/AAAAAAACUQo/KVRBWirmDHs/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x5CZ_BUu0io/VIxPXjF7mhI/AAAAAAACUQg/bQvAVL06D48/s640/03.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cRMcw7Nv0OE/VIxPa6JFppI/AAAAAAACUQw/EF_Xdw3jRpA/s640/04.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/U4XRt1fB2HU/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slfaosjdzdQXHdn5R9Yis5Fm9RkHiFG9fvzffRvX-tEVSrzUPBhii2c*jezWxjvIQjcVL5tAWhE4qbblUawRDvc8/mtanijembe.jpg?width=650)
NANI MTANI JEMBE 2, YANGA KUIVAA SIMBA KESHO TAIFA
Mechi ya Nani Mtani Jembe namba 2 itafanyika kesho siku ya jumamosi katika dimba la Uwanja ambapo itawakutanisha Young Africans Sports Club dhidi ya Simba SC huku timu zote zikitarajiwa kuwatumia wachezai wao wapya zilizowasajili katika kipindi cha dirisha dogo. Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo tayari kimeshawasajili wachezaji wawili kiungo Emerson de Oliveira kutoka nchini Brazil na mshambuliaji mkongwe na mzoefu wa hali ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania