Tambwe asaini Yanga, Maximo nje
Yanga imefanya usajili wa kushtukiza kwa kumsajili Amissi Tambwe aliyeachwa na Simba huku kibarua cha Mbrazili Marcio Maximo kikiwa dakika za mwisho Jangwani. Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s72-c/maximo3.jpg)
MARCIO MAXIMO ASAINI MKATABA NA YANGA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-1h7YENt4dAs/U6rgCuJqWRI/AAAAAAACkQw/-sPNgwfC-M0/s1600/maximo3.jpg)
"Ni kweli kocha Marcio Maximo amekubali kuingia mkataba na timu ya Yanga ambapo anatarajiwa kuanza kazi rasmi tarehe 27/06/2014 ambapo atafuatana na msaidizi wake Leonardo Neiva. Mazungumzo ya makubaliano hayo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K4UzZoI6JDw494yvuqLp5ixxJ9DkJA3smxSbPwh0o00vTQMo2sYrU9V-daBd6*Mi3HfdbuFFIKxoztsOszPTJjMQ00J1QwOf/1hjhtr.gif?width=650)
Ndugu wa Tambwe asaini Simba kwa 21m
Amisi Tambwe. Wilbert Molandi na Nicodemus Jonas TIMU ya Simba imefanikisha usajili wa beki wa pembeni raia wa Burundi, Emiry Nibomana kwa dau la dola 10,000 (zaidi ya shilingi milioni 21). Beki huyo mwenye uwezo wa kucheza namba 2 na 3, tayari alikuwa visiwani Zanzibar ambako timu yake hiyo iliweka kambi kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara kabla ya kurejea jijini Dar es Salaam, jana. Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycPOzjeOLVX5NoyQkjgO4pVoBwLUrHXrAiGUpuVsoSa5i4DVs1*wQHt0gg7VK9ZDnyOn*F2X03AaLwCUMwPax3Ma/tambwe.jpg)
Tambwe, Maximo wakutana Dar
Straika Amissi Tambwe. Na Nicodemus Jonas
SIMBA na Yanga wiki hii zinatarajia kuingia kambini kujiandaa na mchezo wa Nani Mtani Jembe utakaopigwa Desemba 13, mwaka huu, kwenye Uwanja wa Taifa. Ikumbukwe Simba ndiyo wenye kombe hilo, ambalo walilitwaa msimu uliopita baada ya kuwanyuka wapinzani wao mabao 3-1, huku straika Amissi Tambwe akitupia mawili. Hata hivyo, wakati Kocha wa Yanga, Marcio Maximo akitarajia kutia guu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-2YiV16Uwlx-OTxx40PAq1FjGAtQhAaVxlQAc*hLTk2L0vuGWF1pYrRvSjQw3L7ceYBur27P-rCG5h8A2*w*Ksq/1Dar1copy.jpg?width=650)
Okwi asaini Yanga SC
Na Khatimu Naheka
USAJILI wa kishindo, Yanga imefanya kufuru kwa kufunga dirisha dogo la usajili kwa kumsajili kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi na ataanza kuichezea klabu hiyo kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.
Okwi, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya Uganda, The Cranes, amesaini kuichezea Yanga kwa miaka miwili na nusu na Shirikisho la Soka la Uganda (Fufa) limemuidhinisha rasmi kuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7Mj6SXr4lkDv3-zIX*AGe4nyab-KN0-E0*McEd2jPR4ZiVe69KQKEaPCS*ujdCIsLxXIsrCXxKr*7o3B4Laqs7Gq/emerson.jpg)
EMERSON ASAINI YANGA
Kiungo mbrazil Emerson De Oliviera Neves Roque (kushoto) akisaini mkataba leo wa kuitumikia klabu ya Young Africans, kulia ni Afisa Habari wa klabu Baraka Kizuguto. Kiungo Emerson De Oliveira Neves Roque leo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu ya Young Africans baada ya benchi la ufundi kuridhika na uwezo wake,na mchezaji mwenyewe kufikia makubaliano hayo ya kuwatumikia watoto wa Jangwani. Baada ya kufanya mazoezi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwrWXoZ445Q*oID3frNFn8gYszQlQlJUNnrBoE-MuXzrc1Id4ue*1kZ2XBCCZc5l3yvT4X0FOUra2vHc2wYQP68s/1.gif?width=650)
Busungu asaini Yanga
Malimi Busungu akisaini mkataba na timu ya Yanga.
Sweetbert Lukonge na Said Ally
YANGA haitaki masihara hata kidogo linapokuja suala la kukiongezea nguvu kikosi chake! Licha ya vijana hao wa Jangwani kuongoza kwa kufunga mabao 52 katika michezo 26 ya Ligi Kuu Bara msimu uliopita, imeamua kumuongeza mchana nyavu mwingine, anaitwa Malimi Busungu ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili akitokea Mgambo JKT. Yanga imeizidi nguvu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDrvWcOZ-Ev83-TX6tF6a81kn1bjq76tuFYWe364t6KeL*uSUegATFQCqpioDesPpRA4PcDwcrXY8-xeMZbLgs6D/JAJA.jpg)
JAJA ASAINI MIAKA 2 YANGA
Jaja akipokea nakala ya mkataba wake kutoka kwa Katibu Mkuu wa Young Africans, Bw. Beno Njovu leo mara baada ya kusaini kuitumikia kwa miaka miwili. Hatimaye mshamabuliaji Geilson Santos Santana "Jaja"Â raia wa Brazil leo amesaini mkataba wa miaka miwili (2014-2016) kuitumikia timu ya Young Africans kwa ajili ya michuano mbalimbali ikiwemo ya Ligi Kuu ya Vodacom pamoja na mashindano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika...
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mrwanda asaini mwaka mmoja Yanga
Yanga imefanya usajili wa kushtukiza na kuwawahi wapinzani wao Simba baada ya kumsainisha mshambuliaji mkongwe Danny Mrwanda  mkataba wa mwaka mmoja akitokea Polisi Morogoro.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Tambwe 4, Yanga 8, Julio bure
Yanga imemfunga mdomo kocha wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ baada ya kuisambaratisha timu yake kwa mabao 8-0, huku mabingwa watetezi, Azam wakilazimishwa sare 1-1 na Mbeya City.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania