Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi wafanya kufuru Bukombe

>Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kimevamiwa na watu wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za kivita pamoja na mabomu, na kuwaua askari polisi wawili na wengine wawili kujeruhiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Majangili wafanya kufuru mbugani

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu TEMBO 60 wameuawa na majangili kwenye hifadhi mbalimbali nchini katika mwezi mmoja tangu operesheni tokomeza isitishwe.

 

10 years ago

GPL

HARUSI YA BABA HAJI MASTAA WAFANYA KUFURU

SAA chache kabla ya kuanza kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ ameangusha bonge la harusi baada kufunga ndoa na mrembo aliyetajwa kwa jina la Latifa Sharji wiki moja iliyopita huku mastaa wakifanya kufuru kama kawaida yao. Staa wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ akivishwa pete na mkewe Latifa Sharji. Kabla ya pati hiyo iliyochukua nafasi...

 

11 years ago

GPL

NISHA NA TIMU YAKE WAFANYA KUFURU KWA WATOTO YATIMA VINGUNGUTI

  Timu Nisha wakitinga katika kituo cha Mwana Orphans kilichopo Vingunguti jijini Dar. Timu Nisha wakiwa mbele ya watoto (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Vijimambo

COMRADE MWIGULU NCHEMBA ATUA BUKOMBE,SASA JIMBO LA BUKOMBE MIKONONI MWA CCM

    Mwigulu Nchemba akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Ndg.Msukuma "KING" Mshindi wa nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Geita Bi.Vick Kamata akiwashukuru na kuomba kura kwa Wananchi wa Bukombe wampigie J.P.Magufuli ifikapo tar.25.10.2015 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Ndg.Joseph Msukuma akizungumza na Wananchi wa Bukombe kuwa yupo tayari kuzunguka Nchi nzima kuinadi Ilani ya CCM,Pia kumnadi Mgombea Urais wa CCM Dk.J.P.Magufuli kwasababu ndiye Mgombea pekee mwenye dhamira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi wafanya unyama

WATU wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wameteka magari mawili ya mafuta na kuwadhuru watu waliokuwamo kwa kuwakata mapanga na wengine kudaiwa  kukatwa masikio. Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ALIVYOITEKA BUKOMBE

Ahutubia mikutano saba ya hadhara, ikiwemo mitatu katika kata moja ya UyovuAkutana na makundi ya vijana wanaofuga samaki na wachimbaji wadogo wadogo wa madini Ashiriki ujenzi wa madarasaAtembelea miradi 8 ndani ya kilomita 163 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa ofisi ya CCM Tawi la Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita.

 Gari iliyombeba Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ikikatiza kwenye mto kuelekea kijiji cha Namalandulu,wilaya ya Bukombe mkoani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bukombe hatarini kukumbwa na kipindupindu

WANANCHI wa eneo la soko la chakula la mji mdogo wa Ushirombo, wilayani Bukombe, Geita, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na dampo la taka kufurika. Diwani wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mauaji ya vikongwe yazidi kutikisha Bukombe

Wakazi wawili wa Kijiji cha Iyogelo, Kata ya Lulembela, wilayani Mbogwe, mkoani Geita, Mariamu Mulahi (70) na Helena Mulekwa (42) wameuawa kwa kukatwa mapanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachapwa bakora kwa kuvuruga familia Bukombe

Sungusungu wameaza kutekeleza maagizo ya viongozi wa Kijiji cha Ihulike, Kata ya Bukombe mkoani Geita la kuwachapa bakora wanaume waliopora fedha za mradi wa Maendeleo ya Jamii, (Tasaf) kutoka kwa wake zao na kwenda kunywea pombe wakikwamisha malengo ya kuziondoa katika umasikini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani