HARUSI YA BABA HAJI MASTAA WAFANYA KUFURU
![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMugACel5v3v*Q0ztzcgyTfVAjoirRC9iquTk5jH3g*AFAPz7Z0cQrMvyuLB*ZOXOjyiHV68OkvVQURw5eeOwwnJ/BACKJUMAMOSI.jpg)
SAA chache kabla ya kuanza kwa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ ameangusha bonge la harusi baada kufunga ndoa na mrembo aliyetajwa kwa jina la Latifa Sharji wiki moja iliyopita huku mastaa wakifanya kufuru kama kawaida yao. Staa wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ akivishwa pete na mkewe Latifa Sharji. Kabla ya pati hiyo iliyochukua nafasi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies16 Jun
Baba Haji, Lemutuz Watifuana, Kisa Mchango wa Harusi
Staa wa Bongo Movies, Adam Haji ‘Baba Haji’ amemtolea uvivu ‘The King Of All Bongo Social Media Network’ Lemutuz kutokana na tukio la udhalilishaji alilolifanya dhidi yake!
Lemutuz ambaye amezoeleka kwa kutoa hisia na mtazamo wake juu ya mambo mbali mbali mtandaoni, mapema wiki iliyopita alimnanga Baba Haji kupitia ukurasa wke kwenye mtandao wa instagram akidai kuwa amekuwa akisumbua kuhusu michango ya harusikiasi cha kubadili staili ya kudai michango hiyo.
Kutokana na kitendo hicho Baba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVUmkSPKUd140T3EDRwyMw0tXzmVOa*fafNGSi8Se*Lzm27nlU45Aq3G1dXHiohZ9xCzf9-GfD9bII3d5MS2TMhF/HARUSI20.jpg?width=650)
HARUSI YA KANYE WEST KUFURU
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Majambazi wafanya kufuru Bukombe
11 years ago
Habarileo30 Dec
Majangili wafanya kufuru mbugani
TEMBO 60 wameuawa na majangili kwenye hifadhi mbalimbali nchini katika mwezi mmoja tangu operesheni tokomeza isitishwe.
11 years ago
GPLNISHA NA TIMU YAKE WAFANYA KUFURU KWA WATOTO YATIMA VINGUNGUTI
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Baba Haji: Wasanii tubadilike kifikra
MSANII nguli wa filamu za Bongo, Haji ‘Baba Haji’ amewataka wasanii wa tasnia hiyo kubadili na kucheza sinema zenye kuelimisha jamii kuhusu masuala yanayowakabili badala ya kutengeneza zinazohusu mapenzi mara...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Baba Haji adai anasakwa auawe!
Mwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’.
Mwandishi wetu
Roho mkononi! Mwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’ ameviomba vyombo vya dola, TCRA na Rais John Pombe Magufuli kumsaidia akidai kwamba anasakwa auawe na kundi lisilojulikana.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu akiwa mafichoni, Baba Haji alifunguka kuwa amekoswakoswa mara kadhaa kutiwa mikononi na watu hao wanaoonekana kuwa na nia mbaya wakiwa na lengo la kumuua bila sababu hivyo kwa sasa anatembea na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzffExVNlSda4WSsS5BPndlYkmiMCF02Bb7vrh7cnIASWCwgRYR3SnxO6JFtKNlyrUDoga1foR6LlEXvFIG7IYi7/BabaHaji.jpg)
BABA HAJI KUFUNGA NDOA LEO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/13SlHjEdb8OfAUd2DVYCfhuqkwE9u8DqV728YPP04TH5qWHBCISx8kZhyLCPUaQ5p1TGHxCk-Kfw8CXCYBc05XJCpurwwn5L/BabaHaji.jpg)
KAMPENI ZAMKOSESHA MTOTO BABA HAJI