Baba Haji: Wasanii tubadilike kifikra
MSANII nguli wa filamu za Bongo, Haji ‘Baba Haji’ amewataka wasanii wa tasnia hiyo kubadili na kucheza sinema zenye kuelimisha jamii kuhusu masuala yanayowakabili badala ya kutengeneza zinazohusu mapenzi mara...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Vanessa: Wasanii tubadilike kulingana na teknolojia
NA ADAM MKWEPU
MSANII wa Bongo Fleva ambaye ni balozi wa Kampuni ya simu ya Samsung, Vanessa Mdee, amewataka wasanii wenzake waishi kwa kubadilika kulingana na mabadiliko ya teknolojia duniani.
Vanessa alisema hayo wakati wa uzinduzi wa simu mpya ya Sumsung 4G LTE ‘Muvika’ uliofanyika jijini Arusha ambapo alisema uwe ukurasa mpya kwa wasanii wenzake kwa kutumia simu kwa faida.
Naye mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo, Hyeongjun Seo, alisema uzinduzi huo umefanyika Arusha kwa kuwa wanaheshimu...
10 years ago
Mtanzania27 Jan
Baba Haji: Pacho amenifundisha vingi
NA GEORGE KAYALA, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’, amesema kupata nafasi ya kufanya kazi na Pacho Mwamba kumemsaidia kujifunza vitu vingi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Baba Haji alisema kwa muda mrefu alikuwa amejiwekea malengo ya kufanya kazi na msanii huyo maarufu wa muziki wa dansi nchini.
Alisema tayari maandalizi ya filamu hiyo ambayo imepewa jina la ‘Mary Mary’, yamefikia hatua nzuri, hivyo mashabiki wajiande kupokea ujio wake mpya.
“Filamu yangu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzffExVNlSda4WSsS5BPndlYkmiMCF02Bb7vrh7cnIASWCwgRYR3SnxO6JFtKNlyrUDoga1foR6LlEXvFIG7IYi7/BabaHaji.jpg)
BABA HAJI KUFUNGA NDOA LEO
10 years ago
Bongo Movies11 Jun
Baba Haji Kufunga Ndoa Leo
STAA wa filamu za Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ leo anatarajia kufunga ndoa kwenye Msikiti wa Bungoni jijini Dar na mchumba ‘ake wa siku nyingi, Latifa Sharji.
Baba Haji alisema anamshukuru Mungu kufikia hatua hiyo kubwa katika maisha yake kwani ni jambo alilokuwa akilisubiri kwa miaka kadhaa.
“Yaani namshukuru Mungu, nampenda mpenzi wangu Latifa na namshukuru kwa kunikubalia kufunga ndoa kwani wengine huishia njiani katika safari yao ya mapenzi,” alisema Baba...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/13SlHjEdb8OfAUd2DVYCfhuqkwE9u8DqV728YPP04TH5qWHBCISx8kZhyLCPUaQ5p1TGHxCk-Kfw8CXCYBc05XJCpurwwn5L/BabaHaji.jpg)
KAMPENI ZAMKOSESHA MTOTO BABA HAJI
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Baba Haji adai anasakwa auawe!
Mwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’.
Mwandishi wetu
Roho mkononi! Mwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’ ameviomba vyombo vya dola, TCRA na Rais John Pombe Magufuli kumsaidia akidai kwamba anasakwa auawe na kundi lisilojulikana.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu akiwa mafichoni, Baba Haji alifunguka kuwa amekoswakoswa mara kadhaa kutiwa mikononi na watu hao wanaoonekana kuwa na nia mbaya wakiwa na lengo la kumuua bila sababu hivyo kwa sasa anatembea na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLoMO6taC5Q6neckx*JnkXcoDi69oDct9nwxpuBzBgQpaTkpOYitLmVipJDbbh-8jN1obstJeaSOZUgeD*xC7h6x/Q.gif)
BABA HAJI: KANUMBA AMEONDOKA NA SANAA YA BONGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMugACel5v3v*Q0ztzcgyTfVAjoirRC9iquTk5jH3g*AFAPz7Z0cQrMvyuLB*ZOXOjyiHV68OkvVQURw5eeOwwnJ/BACKJUMAMOSI.jpg)
HARUSI YA BABA HAJI MASTAA WAFANYA KUFURU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qSAS7eZtx6A1k0XrB3Ga3tTMN4RAePSMqazMO364RtdMCmdYJWoZoj2uT2F8vnQvnsTNCrtDIBXEk3Mq2ZPWIPAUwetVwf7o/haji.gif?width=650)
BABA HAJI ASHANGILIA ANGUKO LA WEMA SEPETU!