Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BABA HAJI: KANUMBA AMEONDOKA NA SANAA YA BONGO

Hamida Hassan na Shani Ramadhani/Risasi NYOTA wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba Haji’ amefunguka kuwa, soko la filamu  Bongo kwa sasa linashuka siku hadi siku  na sababu kubwa ni  wasanii kutopenda kwenda shule kujiendeleza kielimu na kujua ni jinsi gani filamu inatakiwa kutengenezwa. Nyota wa filamu za Kibongo, Haji Adamu Rajabu ‘Baba Haji’. Akizungumza na Risasi Jumamosi,  Baba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BABA HAJI APIGA DONGO UONGOZI BONGO MOVIE

Na Gladness Mallya
STAA wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’ amewatupia dongo kiaina viongozi waliopita kwenye Klabu ya Bongo Movie Unity kwa kuusifia uongozi wa sasa wa klabu hiyo unaoongozwa na Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Staa wa sinema za Kibongo, Haji Adam ‘Baba Haji’. Akipiga stori mbili tatu na mwandishi wetu, Baba Haji alisema kuwa uongozi wa Steve umeleta mabadiliko...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray Awashangaa Wanaodai Kanumba Ameondoka na Tasnia ya Filamu

Staa mkubwa wa Bongo Movies, Vicent Kigosi 'Ray' hivi juzi kati kupitia kukursa wake kwenye mtando picha wa Instagram amendika mtazamo juu ya tasnia ya filamu na wadau wote kwa ujumla.

Napenda kuchukua furrsa hii kuwashukuru wadau wote kwa michango na sapoti yenu iliyosaidia kuifikisha tasnia ya filamu hapa ilipo.

Bila nyinyi pengine hadithi ingekuwa tofauti leo kikubwa ni kujenga moyo wa kizalendo kwa wasanii wetu leo kuna misemo kila kona eti Kanumba kafa na tasnia imekufa, najaribu...

 

11 years ago

GPL

BABA KANUMBA: NITAMPELEKA MAMA KANUMBA SEGEREA

Stori: Mayasa Mariwata BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba anaonekana kuendelea kuwewesekea mali za mwanaye baada ya kuibuka na kudai kuwa, atampeleka Segerea (jela) mzazi mwenzake, Flora Mtegoa kwa madai kuwa amezifuja mali za marehemu. Mama Kanumba, Flora Mtegoa. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni kwa njia ya simu, baba Kanumba alisema, ameona taarifa kwenye gazeti kuwa mali nyingi za marehemu Kanumba zimeuzwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Baba Haji adai anasakwa auawe!

BABA_HAJIMwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’.

Mwandishi wetu
Roho mkononi! Mwigizaji wa Bongo Movies, Haji Adam ‘Baba Haji’ ameviomba vyombo vya dola, TCRA na Rais John Pombe Magufuli kumsaidia akidai kwamba anasakwa auawe na kundi lisilojulikana.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu akiwa mafichoni, Baba Haji alifunguka kuwa amekoswakoswa mara kadhaa kutiwa mikononi na watu hao wanaoonekana kuwa na nia mbaya wakiwa na lengo la kumuua bila sababu hivyo kwa sasa anatembea na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba Haji: Wasanii tubadilike kifikra

MSANII nguli wa filamu za Bongo, Haji ‘Baba Haji’ amewataka wasanii wa tasnia hiyo kubadili na kucheza sinema zenye kuelimisha jamii kuhusu masuala yanayowakabili badala ya kutengeneza zinazohusu mapenzi mara...

 

9 years ago

GPL

KAMPENI ZAMKOSESHA MTOTO BABA HAJI

MAYASA MARIWATA MSANII wa filamu Bongo, Haji Adamu ‘Baba Haji’ amesema kampeni za siasa zilizokuwa zikifanyika kuelekea uchaguzi mkuu uliopita, zimemkosesha kupata mtoto kwa vile alikuwa mbali na mkewe aliyebaki Dar. Msanii wa filamu Bongo, Haji Adamu ‘Baba Haji. Akizungumza na gazeti hili, alisema alipata mtoto mmoja wa kiume katika uhusiano wake kabla hajamuoa mwanamke huyo, lakini akakosa amani kwa sababu ya hamu yake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baba Haji Kufunga Ndoa Leo

STAA wa filamu za Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ leo anatarajia kufunga ndoa kwenye Msikiti wa Bungoni jijini Dar na mchumba ‘ake wa siku nyingi, Latifa Sharji.

Baba Haji alisema anamshukuru Mungu kufikia hatua hiyo kubwa katika maisha yake kwani ni jambo alilokuwa akilisubiri kwa miaka kadhaa.

“Yaani namshukuru Mungu, nampenda mpenzi wangu Latifa na namshukuru kwa kunikubalia kufunga ndoa kwani wengine huishia njiani katika safari yao ya mapenzi,” alisema Baba...

 

10 years ago

GPL

BABA HAJI KUFUNGA NDOA LEO

Hamida Hassan
STAA wa filamu za Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ leo anatarajia kufunga ndoa kwenye Msikiti wa Bungoni jijini Dar na mchumba ‘ake wa siku nyingi, Latifa Sharji. Staa wa filamu za Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’. Akizungumza na Amani juzi, Baba Haji alisema anamshukuru Mungu kufikia hatua hiyo kubwa katika maisha yake kwani ni jambo alilokuwa akilisubiri kwa miaka kadhaa.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Baba Haji: Pacho amenifundisha vingi

Patch+blogNA GEORGE KAYALA, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’, amesema kupata nafasi ya kufanya kazi na Pacho Mwamba kumemsaidia kujifunza vitu vingi.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Baba Haji alisema kwa muda mrefu alikuwa amejiwekea malengo ya kufanya kazi na msanii huyo maarufu wa muziki wa dansi nchini.
Alisema tayari maandalizi ya filamu hiyo ambayo imepewa jina la ‘Mary Mary’, yamefikia hatua nzuri, hivyo mashabiki wajiande kupokea ujio wake mpya.
“Filamu yangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani